Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
Official account ya Davido instagram hii hapa kama alivyotuwekea Mrembo by Nature. Sasa mtu kama huoni kuna utofauti kati ya hizo account mbili si ajabu hii?
Hahahahaaa nacheka kama mazuri vile!
Hdi MTV Mama ziishe sitajibu mtu vibaya. hata aniprovoke vipi ntamwambia tu leo sina mkuki... manake hii kampeni ni nzito. so jamani tuwavumilie ili tuweze kutimiza lengo. muwaambie na wengine
Last edited by a moderator: