Lakini Kim hii ni dawa tu jamani coz tunawagonjwa wengi humu na ugonjwa umekua sugu.hahahahahah
Baba samira ni injinia, ni doctor, ni mwalimu, ni police, ni kila kitu ha ha ha(akirudi ntamkoma hilo gazeti)
Wanawake wa jf .mbona kimya.wenzenu.wanatunza ....kuibiwa.majaliwaaa
Tutunze.uu
Mwanaumee ferrari. Vitz majaliwaa
Mashalaaa binadamuuuuyaan kila kitu yeyee kajaaliwa na maulana na mkewe Ana raha kua na mume Ana fani kibaooooo
kakimbia hapa hapmtoshi.
Matola ni Fekelo id na hii ni Fekelo id hivi unahisi napungukiwa nini? Mimi ni wa kusumbuliwa na Annonymous? Baba Samira mwaka atawajambisha sana.
Yalaahaaaa.manenookuntuuu
Harooooowapeee wapeew
yaan kila kitu yeyee kajaaliwa na maulana na mkewe Ana raha kua na mume Ana fani kibaooooo
Huko fb hizo acc/page za Tanzania wire ziko nyingi sana hata sielewi ulikua unamaanisha ipi.
Halafu ile ya kwanza si nikamuona ndugu yangu?
Hahahahaaa.
ahahaha umesahau na video producer,camera man,mbeba box,lakini cha ajabu anashinda humu kuqoute ushuzi!sasa najiulizaga hivi muda wa kufanya kazi au biashara anautoa wapi?!hata kusimamia studio anasimamia kweli?
Halafu cha ajabu hayawahusu hata kama ikiwa uongo,sisi wenyewe tumekubali kuongopewa na domo!tumeshawapa go ahead wapige kura watakavyo kwa wanayemtaka!!lakini bado kuna muwasho sehemu wanawashwa lakini hawataki kujikuna!
Tuendelee tu kuwakuna kwa kweli maana hakuna jinsi tena
Haahaaaa binaaadaamuuuuuuu feerariii aachomeee wachomeeeeeww dplatnumHahahahaaa, kumbe na wewe unajua kuchamba hivi?
Nilikua sijui aisee. ...
mhhhh usikute ndo hela zetu wenyewe wabongo white party mlimani city
Kashangae mmu wadada wanakesha wanayachambuwa mapenzi jiulize sasa wanatiwa saa ngapi?ahahaha umesahau na video producer,camera man,mbeba box,lakini cha ajabu anashinda humu kuqoute ushuzi!sasa najiulizaga hivi muda wa kufanya kazi au biashara anautoa wapi?!hata kusimamia studio anasimamia kweli?
Nimekuja na ndoo yangu ya sato ile kubwa mahaarage bado saanaaaa.simuwez Mie yaaan Kati ya watu walionichoshaa jf ,nae anaongozaaa
Sijui anakula maharage ya wapi yulee
Kashangae mmu wadada wanakesha wanayachambuwa mapenzi jiulize sasa wanatiwa saa ngapi?
Nimekuja na ndoo yangu ya sato ile kubwa mahaarage bado saanaaaa.
Tafuta ile iliyojaa mituusi mmikuumaa miikuun.du huumooooo ndio salamu.
Mimi kule sicomment wanaoniamkia shikamooooo wapo wengi mule napita kimyakimya tu.
Kwa kiswahili hii kauli ina maana gani?:confused2::confused2:
.........................................