simuwez Mie yaaan Kati ya watu walionichoshaa jf ,nae anaongozaaa
Sijui anakula maharage ya wapi yulee
Hiyo ni Yahaya 2:3-5 ha ha haHapo mwanzo Mungu aliumba ulaya na marekani,akaweka maghrofa mazuri,snow inayoanguka kila mwaka,miundo mbinu mikali and then akaumba Afrika akaweka maliasili kibao kama madini,wanyama,gesi na mito na maziwa yaliyojaa samaki kibao,wazungu wakamlalamikia Mungu wakisema eeh Mungu mbona umewapendelea waafrika,Mungu akajibu,Acheni kiherehere subirini muone viongozi nitakaowapa

Punguza stress kaka ake Mie
Kuna mahali kaandika kua ni yake?
Labda jimbo la InstagramLohhh kuuza mayai yametushnda ngoja tujaribu na ubungee haroooooo
Ha ha ha mi naona watu ndo wamejaa unoko tu naseeb kajiandikia zake machache tu wenye akili za panzi na shule ya mlugo wakatafsirii wakanyambua wakakarabati wakatiatia chumvi pambaffffff na diamond anajua kuvuruga ha ha ha anapost kakitu afu haandiki ngoja sasa uone ki vumbi na jashoDuuh hatariiii...........swali lako limekaaa kinoko mkuu looh!!
Labda jimbo la Instagram
Duuuu nipo apa nasubir usafir nacheka tuu..wacha daladala ichelewe tu
Cheka mwaya as long as bandama unazo....Duuuu nipo apa nasubir usafir nacheka tuu..wacha daladala ichelewe tu
Labda jimbo la Instagram
Harooooo jimbo la mikocheniii..Labda jimbo la Instagram
harooo ya mbungeeeeewachomeeee dinnaa wachomeeeeee wapi mb8 nikudownload ana.nini
UJJAKOSEA KABiSA WANACHAMA WAKE WANAVYOPENDA MBUNYE LOH KASHAPITA MTUKUFU HONKwa chama cha mapinduzi yote yanawezekana mwenzangu,ngoja tuone kama bunge litavumilia kashfa za picha za utupu!maana mheshimiwa mtarajiwa madame kwa manyago hajambo!!
Pdidy hiyo picha ya mayai ndio umepiga na ile iPhone yako?Lohhh kuuza mayai yametushnda ngoja tujaribu na ubungee haroooooo
Wachomeeee dinnaa wachomeeeeee wapi MB8 nikudownload ana.nini
Ndo alivokuambia, ndo alivoandika au ndo ulivohisi.....we mbebs wako akikupa gari ni vibaya? Au wapenda kupewa boxa na singlend tu ha ha ha
Harooooo ningekuwaa na iphone.ningeshanunua ferariii mwaya niombee na mie ninunuliwe shostito