Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,104
simuwez Mie yaaan Kati ya watu walionichoshaa jf ,nae anaongozaaa
Sijui anakula maharage ya wapi yulee
ahahahahaha!tenaaaaaaaaa!!si bora maharage siku hizi yamepanda chart!zinaliwa njegere mwaya kwenye wali utazikuta na mboga pia,si ajabu kwenye supu pia zinawekwa,mchemsho zinawekwa ndio maana shobo mbinuko haziishi!!