Diamond anunuliwa Ferrari na baby wake, Zari The BossLady

Unaweza ukatumia email au phn number ila ili u vote kwa raha zako tumia email

Mi nilidhani ukibofya tu kitufe cha vote inakuwa ndio tayari Sasa si inaonekana hao jamaa wamekodi watu na kuwa cafe ili wafungue email za kupigia kura?
 
Nakosaje kupiga kura labla..ni bora nisahau kuvaa chupi lakini sio kuvote for davido mamy

Hahahahahahahah... hakyanani King hawezi kosa Tuzo kwa ushindani wowote unaohitaji kura kwa mtindo huo..!! labda wapeanage kama walivyopeana za All African huko South ambazo tunaambiwa wanaenda kukabidhiwa mwezi wa saba..!!

Btw, kajiandikishe momiee upate VC nagombea Ubunge zis time ujue..!!

BACK TANGANYIKA
 
tunaomba kadi ya gari isiwe ikawa yale ya kina wem sepetu na wolper wanapiga picha na magari ya watu kupata media atention ha ha ha gari hata reg no haina? huo ukuta na iyo scene ni bongo kweli?
 
TAYARI NIMESHAJIANDIKISHA.
GOMBEA UTASHINDA TUU

Mi nilidhani ukibofya tu kitufe cha vote inakuwa ndio tayari Sasa si inaonekana hao jamaa wamekodi watu na kuwa cafe ili wafungue email za kupigia kura?
ndo ivyo vote vote vote AFRIKA TUPENDANE
JAMAN POLE SANA. MIMI NIPO
 
Dinazarde wacha matusi weyeee
 
Last edited by a moderator:
Hebu fanya fasta kunitumia hiyo bajaji aise,nimechoka kupuyanga na tzd 1 1

Sasa bibie kununua ninunue na kuleta nilete..., aiiiiiggghhh mi hizo habari sinaga. Ukuje mwenyewe uchukue tena haraka kabla hajatafutwa mmiliki mpyaaaaa...!!

BACK TANGANYIKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…