Hii ni habari njema hasa kwa serikali yetu iliyofirisika TRA wakamue half half yao, kama si michezo yetu ile ya kuigiza.
Mimi baby wangu kaninunulia boxer am very proud of her.
Hahahahaaa, hivi wanaweza vipi hayo mambo? Kweli watu wanajiweza!
Yaani niwe na id kibao kwa ajili ya kutusi watu? Huo ni zaidi ya uwendawazimu.
Wewe unaamini kwenye kanunuliwa hiyo whip na bae wake?
I mean, hata mimi sasa hivi hapa naweza kwenda ku test drive Bentley nikapiga na picha kabisa.
Nikija kuiweka tu humu watu watameza tu kama wamezavyo mate!
wataashinda makalio juuu
Kudadeeki duuh. Hawa ndo madem sasa
yaan wakanyeeee hukooo
Wivu tuuu
sure kuna mtu hapa ana id tatu mi namchora tuu!!
hyo moja kwa ajili ya matusi ya nguoni akishindwa kujicontrol
ni upuuzi mtupu mi nampotezeaga tu
kwa sababh hakuna tusi jipya duniani!
sure kuna mtu hapa ana id tatu mi namchora tuu!!
hyo moja kwa ajili ya matusi ya nguoni akishindwa kujicontrol
ni upuuzi mtupu mi nampotezeaga tu
kwa sababh hakuna tusi jipya duniani!
Whatever the case,attention kashaipata. Anaweza kuwa kapost tu kuzuga lakini watu wako busy kujadili
Du sasa hapa wale wa kununa nuna si ndio sura zitaharibika kwa minuno. Dahh mwanamke anajua kupenda huyu mweee!!
Haaaaaaaaaaaa eti wakanye.. Wanye kuanzia ubungo hadi posta .
Wakalambe ndimu na malimao....... Maybe itawasaidia
Hiyo gari ni kwa ajili ya video mpya
Hii ni habari njema hasa kwa serikali yetu iliyofirisika TRA wakamue half half yao, kama si michezo yetu ile ya kuigiza.
Mimi baby wangu kaninunulia boxer am very proud of her.
Yaweza kuwa hata video shoot huko aliko.
Ndo maana nasemaga ufanboy na ufangirl ni mbaya sana wakati mwingine maana unafanya watu wasifikiri hata kidogo.
We unao ushahidi kuwa we ni mtoto wa baba ako?