Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Hahahah haya sasa mwenye gari kajitokeza.
Kuna watu mnaongea na kujifurahisha kumbe gari kapewa apige picha
Hahahahaaa, aibu naona mimi hadi natamani ni log out maana sio kwa kumwaga povu huku....
Akiba ya maneno ni kitu cha muhimu sana