Diamond anunuliwa Ferrari na baby wake, Zari The BossLady

Diamond anunuliwa Ferrari na baby wake, Zari The BossLady

Mkuu hapo kwenye "Your" alisahau Ku-touch alimaanisha "You" chezea touch wewe..!!! Sentesi yote imevurugikia hapo...

Anyway kama niko sahihi, huyo mama anaonyesha hadharani kwamba walikuwa na mtafaruku wa chinichini na Daimond, Kiasi kilichopelekea yeye kumhonga Ferrari ili kumrudisha.. Na jamaa kwa kupewa gari hilo ndiomaana kashukuru hadharani na mdada wa watu kwa kuzidiwa na furaha kamwaga mtama kwenye kuku wengi..!!!

Nampa hongera sana Dai, kipenda kwa namna hiyo kina miss Chaga na 'Valentina' wanakulilia kila siku hawapati..!!

It's only my Opinion..!!

BACK TANGANYIKA

u r completely wrong....i [gat] got your back means i SUPPORT YOU.
 
Breaking News: Diamond ambusu Zari kisogoni

source: kuchungulia kwenye tundu funguo la mlango

Ila leo nafurahia watu wamepashika uzi ule maana wamejulikana wakoje, kuna njia za kutoa watu pangoni naamini Diamond anaweza yoteeeeee

Tuanaopenda nchi yetu isikike sie tupige kura kama kawa kumvotiaDiamond katika category tatu

link hii chini

MAMA 2015
 
wapi hukooo

Naaaaaaaaaaaaaam Dina!!oopsss!siasani kunahitaji moyo kwa kweli!nilikuwa nampigia promo baba yangu Augustino Ramadhni kule ili ashinde urais

Vipi mama kuna mtu kaibiwa??
 
Kwenye ile thread waliyokutelekeza peke yako ya Hoax kila Mrembo by Nature akikustuwa mwenzetu hustuki kumbe wenzio kina Mzurimie wamekuingiza chaka halafu wamesepa.

Ndio maana mnaitwa wa mikoani ni wazito sana kuusoma mchezo.


yaan hata wakimbiee mi nipo nabaki,halaf Leo nipumzishe umeniqoute mno Baba samira khaaaa,
Nitarudi baadae,,
 
Last edited by a moderator:
Breaking News: Diamond ambusu Zari kisogoni

source: kuchungulia kwenye tundu funguo la mlango

Ila leo nafurahia watu wamepashika uzi ule maana wamejulikana wakoje, kuna njia za kutoa watu pangoni naamini Diamond anaweza yoteeeeee

Tuanaopenda nchi yetu isikike sie tupige kura kama kawa kumvotiaDiamond katika category tatu

link hii chini

MAMA 2015


hhhhaaaa eti tukitoka tumewakimbia wa kumkimbia nani humu jf bado sijaona aiseee,,,,,
Yaan unanichekeshaaa
 
Mkuu hapo kwenye "Your" alisahau Ku-touch alimaanisha "You" chezea touch wewe..!!! Sentesi yote imevurugikia hapo...

Anyway kama niko sahihi, huyo mama anaonyesha hadharani kwamba walikuwa na mtafaruku wa chinichini na Daimond, Kiasi kilichopelekea yeye kumhonga Ferrari ili kumrudisha.. Na jamaa kwa kupewa gari hilo ndiomaana kashukuru hadharani na mdada wa watu kwa kuzidiwa na furaha kamwaga mtama kwenye kuku wengi..!!!

Nampa hongera sana Dai, kipenda kwa namna hiyo kina miss Chaga na 'Valentina' wanakulilia kila siku hawapati..!!

It's only my Opinion..!!

BACK TANGANYIKA

Ha haaa ngoja nimalizie hii fanta yangu kwanza...
 
Last edited by a moderator:
u r completely wrong....i [gat] got your back means i SUPPORT YOU.

Yeye alidhani kakosea kwenye your akaweka you ambayo inaleta maana nyingine kabisa.
Kwahiyo kwa mtazamo huo yuko sahihi...na alisema ule ni mtazamo wake tu.
 
Naaaaaaaaaaaaaam Dina!!oopsss!siasani kunahitaji moyo kwa kweli!nilikuwa nampigia promo baba yangu Augustino Ramadhni kule ili ashinde urais

Vipi mama kuna mtu kaibiwa??


hhhhhhaaaaa matola anakutafutia ban kaa nae mbali ,,,,,,Mimi nimetoka kujiandikisha nipate kitambulisho chezeyaaa
 
sawa shoga la kiume...uchangudoa unalipa sana hapa mjin kuliko kuwa choko dume zima unavuja nnyaa..!! Pita hivii tukutane jion nikutafutie bwana we shoga kapuruwaa bwahahahah
Sawa Changudoa nimekupata
 
Eeh bwana eeh? Wewe jamaa umetumia jicho la tatu.
Hata mimi nimejaribu kuwaza mara mbili alimaanisha nini kusema "I gat you back no matter what"?
Sio ajabu ni kama ulivyosema hapo..
Haya bwana.

Aaaaah Nifah my, watu wanajua kuchanganya lugha acha kabisa.. halafu wanakuja watu hapa na kutuita Makayumba sijui wao wanaishi wapi?

Halafu hebu mwambie mkuu Charity hapo apunguze munkari plz, maana nimeina akinyeshesha mvua hapa hata mwamvuli huwezi kufanya kazi.!! Mwambie akolum daun tafadhari jukwaa linamuhitaji hili..!! Nisalimieni cute b popote mtakapomuona mwambieni hata mate hayamezeki bila kusikia sauti yake tamu utafikiri nyuki wakitunga asali kwenye mzinga...!!

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Jamani ninarudiii,maana hambanduki humu nahis hata Kula hamli,Kwan hamsherehekei hata tuzo au mmepigwa marufuku ki ki ki ki ki ki ki ki ki ki
 
Official account ya Davido instagram hii hapa kama alivyotuwekea Mrembo by Nature. Sasa mtu kama huoni kuna utofauti kati ya hizo account mbili si ajabu hii?
Hahahahaaa nacheka kama mazuri vile!
 

Attachments

  • 1434545460393.jpg
    1434545460393.jpg
    60.4 KB · Views: 67
  • 1434545507403.jpg
    1434545507403.jpg
    5.6 KB · Views: 64
Last edited by a moderator:
Kuna mod wanakula rushwa humu siku hizi tena mbaya zaidi hadi rushwa ya ngono, kuna kile kichakubimbii kinaitwa sijui Kimber nini ndio huwa kinajipendekeza kwa mods.

oukeyyy now i get the point legoooo
 
Kwenye ile thread waliyokutelekeza peke yako ya Hoax kila Mrembo by Nature akikustuwa mwenzetu hustuki kumbe wenzio kina Mzurimie wamekuingiza chaka halafu wamesepa.

Ndio maana mnaitwa wa mikoani ni wazito sana kuusoma mchezo.

Hahahahaaa, ngoja waje wale WAZALENDO wasiotaka kusikia hilo jina la 'wa mikoani'....lol
 
Last edited by a moderator:
Eeh bwana eeh? Wewe jamaa umetumia jicho la tatu.
Hata mimi nimejaribu kuwaza mara mbili alimaanisha nini kusema "I gat you back no matter what"?
Sio ajabu ni kama ulivyosema hapo..
Haya bwana.

Kwani wapi kasema anunuliwa? Au neno thanks baby ndo kwa Kiswahili ahsante kwa kuninunulia gari ha ha ha

Domo hiyo gari si yake anawarusha roho tu, ni ya rafiki yake wa huko nje, yeye ameuzia sura tu hapo
 
Back
Top Bottom