Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,104
Kabisa. kibongo bongo ndio zawadi zetu sasa mtu akihongwa Ferrari lazima mtikisiko uwepo.
Tunasahau kuwa kuhongwa kuna viwango kuanzia kyupi hadi Ferrari ,usisahau kuna watu wamehongwa ubunge viti maalumu na ukuu wa Wilaya.
Ahahaha wengine wamehongwa tuzo.