Diamond anyakua tuzo 3 zinazotolewa na Chomva 2014


nenda kaombe kazi USAIDS au Angaza
 

Na sasa anadaiwa kutoka na binti wa Uganda mwenye vijisenti aishie Afrika Kusini aitwae Zarina Hassan almaarufu kama Zari.
 
Hivi kwann watu wananuna diamond kupata mafanikio....??!!

Ni kipaji, jitihada zake ndo zimemfikisha hapa alipo.
Kijana hana makuu.....

Binafs nimependa alivyonyakua tuzo 3 na kuweka historia , kuitangaza nchi kwenye uwanda wa muziki.

Hii ni fursa kwa wasanii wengine kuitumia...

Hajamwibia mtu kama sakata la escrow..
 
chuki za wazi wazi ...imba wako af ukashinde...ety viewers nying sio kila anawatch vid ndio kaipenda ..

Video ya domo ikipata viewers wengi kavunja record ila wakipata wengine lugha inabadirika mwe! Kweli domo ana mashabiki majuha kweli.
 
Hongera diamond hujatangaza jina lako tu bali pia la tz big up keep it moving
 
Domo anaposhangilia ushindi ni vyema pia kumshukuru davido aliyempenyeza kwenye anga hizo. Kwanini sio nataka kulewa, mawazo n.k? Kwa kifupi tuzo hizi ni za davidoo (Kama waniger wenyewe wanavyotamka)
 
Domo anaposhangilia ushindi ni vyema pia kumshukuru davido aliyempenyeza kwenye anga hizo. Kwanini sio nataka kulewa, mawazo n.k? Kwa kifupi tuzo hizi ni za davidoo (Kama waniger wenyewe wanavyotamka)

hehehe una stress za kucheleshewa mshahara au za kukosa mgao wa escrow?ngoma iliyochukua tuzo ni my number one og version ambayo huyo davido hakuwepo.
 
Domo anaposhangilia ushindi ni vyema pia kumshukuru davido aliyempenyeza kwenye anga hizo. Kwanini sio nataka kulewa, mawazo n.k? Kwa kifupi tuzo hizi ni za davidoo (Kama waniger wenyewe wanavyotamka)

Hawawezi kukuelewa, hata hii thread mwanzo heading yake waliandika Diamonda amkalisha Davido tuzo za Chanel O mpaka watu wenye akili tulipokosoa naona na mods wakaliona hilo wame-edit heading ya thread isije ikamkosesha kolabo na Davido na akamblock uko Insta kama alivyomblock Jose Chamilione.

Tatizo kubwa mashabiki maandazi wa bongo ni upeo mdogo, Diamond ndani ya moyo anahitaji zaidi urafiki na back up zaidi kutoka kwa Davido sasa leo media za Bongo kupitia mashabiki maandazi zimkejeri Davido hivi tunamjenga au tunampoteza Diamond? Vichwa maji wote hawalijui hili au wanadhani sisi ndio tunaosoma media za nje na wenzetu hawasomi media zetu online.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…