Diamond anyakua tuzo 3 zinazotolewa na Chomva 2014

Diamond nilikuwa simkubali ila nimenkubali,Tanzania inasikika now mpaka kuchukua tuzo wakati zamani ilikuwaga ishu hata kuona video ya bongo ikichezwa Chanel O,nachoona hamna wa kujituma kama yeye akija kuacha mziki hivi si ndo hatutajulikana tena

Kaka,diamond ni kama alivokua kanumba tu mzeee....enzi zile ana hustle kujipenyeza kwa wanaija,wabongo walijitahidi sana kumshusha..
Lakini kazi yake na bidiii yake ilionekana.
Baada ya kufariki tasnia imeshuka sana,na hata wale wapuuzi waliombeza wakaanza kujirudi ooh alifanya kazi nzuri(yaleyale ya kumsifia mtu akiwa amefariki)

So hata chibu anachofanya watu wanaweka chuki binafsi,lakini ipoo siku watakubali tuuu(naomba isiwe wakati hatunae)

Hiii ndio hali halisi ya maisha ya mtanzania,UNAFKI NA HUSDA NA CHUKI NA KWANINI NYINGI.
 

Kaka kumbe ulishaiweka hiii ya kanumba...hata nami nimewapa huo mfano
 
Mdogo wangu Ally Kiba,nilitarajia mwanamziki mkubwa kama wewe utaweka matatizo au ugomvi na Diamond pembeni na kuandika au kusema neno la kumpongeza kwa hiki alichokifanya, sbb ameiletea Tanzania sifa kubwa sana.Hatakama alikukosea,kwa alichokifanya basi ungesamehe yote.sababu sifa aliyotuletea ni ya watanzania wote akiwemo mimi na wewe na yeyote yule ambaye ni mtanzania.na amewafungulia milango wasanii wengine akiwemo na wewe.tuseme hata ili ulioni Kiba??? Hapana haipendezi hata kidogo.umezidiwa hata na Wema Sepetu,japo wamemwagana lakini kaona nini Diamond kafanya na ndio maana akampongeza.
 
wewe kweli kilaza kwani wasanii wote wa bongo wamempongeza Diamond!?wewe kweli chizi unataka Kiba awe mnafiki kwa kupongeza kitu ambacho ajafurahishwa nacho!?
wewe kama umeamua kumpongeza mpongeze sio kulazimisha watu wengine nao wawe na akili chelema kama zako
 
davido kwenye insta kaweka maandishi yanasomeka hivi"SOMEONE ELSE IS MUCH PROUD UP BY HAVING LESS THAN I HAVE",nahakumpongeza domo nayeye yupo team kiba?acha unafki,let kiba live his life free!
 
Diamond kaleta sifa ipi kwa taifa? Au kwa kupata hizo tuzo huko SA?

Ndio yaleyale ya Hashim Thabit, mtu kahangaika peke yake kutoka lakini kwenye kupokea sifa kila mtu anataka kuzipokea kwa niaba...
 
Kweli.nimeamini Watanzania wengii hawana kazi hasa wakazi wa dar ni wavivu kupindukia. Muda wa kazi wanamshangaa huyu zuzu. Mikoa ya wachapa kazi kama Songea huwezi ona huu ujinga
Watu wakienda kumpokea Diamond ni mazuzu na wanapokusanyika kwenye mikutano ya majizi ya CCM na wapiga deal za meno ya tembo kama Kinana tuwaitaje? Huko Songea unakosema ni wapiga kazi na hawawezi kufanya ujinga kama huu, wangekuwa kama unavyotaka watu waamini wangekuwa wanajitokeza kwa maelefu kwenda kuwashangalia majizi na majangili ya CCM? Heri ya mazuzu wanaoenda kumpokea Diamond ambae anawapa faraja baada ya kuumizwa na majizi ya CCM na majangili ya CCM kuliko mazuzu yanayoenda kuwapigia vigelele majizi na majangli ya CCM yanayotufanya tuwe maskini....


 

una jibu vizuri aisee..!
 

Umetumwa,huna haya?? Hujawaona watu wote umemuona Ally Kiba tu,hizi ndo ashki majinuni mlizoambiwa,acha unafiki na upashkuna we mama anjela.
 
kwa hiyo kati ya wasanii wotf bongo, umemuona kiba tu, na mlikaa mkiangalia ataadika nn, huyo mtu mzma anajielewa
 
wewe shauri yako utaambulia matusi na hakuna ataekuja kukutetea.....kama hunielewi muulize babalevo...haya andika tu ujinga......watu wamekaa kimya tu
 
Hata hasipotoa pongezi ukweli po palepale nassib domo yupo juuuuu tu....so pongezi za kiba akae nazo akapigie picha
 

Mkuu simama, nataka kuona makalio yako km ni lens mbinuko ama mbonyeo! Hao wanaomsifia hamtosheki nao mpk na ally k nae amsifie! Wee na shosti mwenzio wema si mmeshamsifia, inatosha!
Wema kamsifia kwa vile kamiss bo.oo, wewe je, umemiss nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…