Diamond anyakua tuzo 3 zinazotolewa na Chomva 2014

Watu ndio waliopiga kura sio waandaaji...huo utumbo sijui ni akili yako tu au umeshirikisha na kitu kingine kichwani wakati unaandika
 
The 2014 Channel O African Music Awards

Usiku wa jana Diamond alitisha baada ya kuongoza kwa kuchukua tuzo nyingi(3).Kwenye tuzo ya most gifted afropop ndio mtu mzima davido alipokaa,big up kijana endelea kutuwakilisha kimataifa.
Diamond Platinumz walked way with the Most Gifted Newcomer, Most Gifted Afro Pop and Most Gifted East.
 

Attachments

  • 1417335394948.jpg
    50.7 KB · Views: 3,358
Baada ya Diamond kupata tuzo tatu usiku wa kuamkia leo, madam Wema Sepetu ktk page yake ya instagram hakusita kumpongeza kwa kuandika,
Good night Instagramers pongezi nyingi zimuendee kaka Plutnumz kwa kupata tuzo.
Hii ni muendelezo wa series zao za mapenzi ktk kuachana na kurudiana.
Diamond aliongizana na mama yake pamoja na mpenzi wake mpya Zari, ktk khafla hiyo ilihudhuliwa pia na Vannesa Mdee, madam Rita na Salama Jabry.
 

Attachments

  • 1417348307905.jpg
    45.8 KB · Views: 2,772
Hongera sana Diamond we na project yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…