Diamond anyakua tuzo 3 zinazotolewa na Chomva 2014

Diamond anyakua tuzo 3 zinazotolewa na Chomva 2014

Dinazarde...naomba nitengue fumbo ingawa sijaitwa....huyo ni Wema..Aisee domo sina mahaba naye ila katika hili plz!Yule ni mwanaume,Anafanya kazi yake na kupata pesa yake,ana haki ya kuchagua kuwa na mwanamke yeyotee....kwani kalazimishwa?mwacheni ajichapie kifaa icho wee!Kwani kadi ya clinic ya dai ipo kwa zari?Kama ni ngoma nani alimpima Zari?Aku....kwa raha zake!Wema alipo anaipata joto ya nafsi....
 
Dinazarde...naomba nitengue fumbo ingawa sijaitwa....huyo ni Wema..Aisee domo sina mahaba naye ila katika hili plz!Yule ni mwanaume,Anafanya kazi yake na kupata pesa yake,ana haki ya kuchagua kuwa na mwanamke yeyotee....kwani kalazimishwa?mwacheni ajichapie kifaa icho wee!Kwani kadi ya clinic ya dai ipo kwa zari?Kama ni ngoma nani alimpima Zari?Aku....kwa raha zake!Wema alipo anaipata joto ya nafsi....

Eee yaan watu washaweka picha ya wema na zari wanalinganishaa
Wawaache ni mapenzi yao watu tunajua kuhukumu kwelii, ,eti mzee ooo bibii wakati halingani hata na mama zao,,,
Mara tuzo walikosea,mbona kina Davido wamempongeza lakini kwa vile nabii hakubaliki kwao ni sawa na angekosa humu kina matola wangechangamka balaa nashukuru kapata kawafunga midomo watu wanatapatapa tu
 
Unaambiwa ilikua balaa juzi hapo ndani ya south kwa madiba marehen mungu amlaze mahali pema unaambiwa alinyakua tuzo kama mwewe au tai
 
Hapa ndio Wabongo huwa naamini wengi ni Sachactric case, 24 years old na mama wa miaka 39 wapi na wapi? Sifa za kijinga watoto under age wa rika lake wamejaa tele Sinza, Mwenge, Mikocheni, Mbezi beach, Obey na Masaki kujipachika kwa mama wa watoto 3 ni ujuha.

Huyo kahaba ni size ya Billionare Le Mutuz.

Kunya boga..
 
Kuna watu wanashangaza sana tena utadhani siyo wazazi, hivi ni mzazi gani mwenye maadili anayeweza kujisikia faraja unamleta mwanamke kumtambulisha eti ndio mpenzi wako wakati ni agemate na Mama yako mzazi hii kama siyo laana ni kitu gani?

Diamond he deserve better than this guys.

Zari na Diamond wanapendeza sana, wamefiti kabisa. Namshauri Diamond amuoe kabisa Zari . Couple yao ni the best in East Africa.
 
ningemuona mtu ni wa maana sana kama angemwambia daimond aache uzinifu kwani uzinzi ni dhambi lakn kama mnamwambia azini na wasichana wenye umri wake ni sawa na kusema awaogope nyie binadamu lakini sio mungu wake
 
Zari na Diamond wanapendeza sana, wamefiti kabisa. Namshauri Diamond amuoe kabisa Zari . Couple yao ni the best in East Africa.

Wafanye nikaha tenaa....Dini haiulizi umri...Muhimu wapendane kweli....
 
ningemuona mtu ni wa maana sana kama angemwambia daimond aache uzinifu kwani uzinzi ni dhambi lakn kama mnamwambia azini na wasichana wenye umri wake ni sawa na kusema awaogope nyie binadamu lakini sio mungu wake

una jua nini zai tuseme tu ukweli licha ya uzuri alio nao zari but ki ukweli yule dada kaenda sana age hastahili kua demu wa diamond ...hata ninge kua mimi nisinge acha kumchapa demu kama yule but kuweka kambi pale ingekua ngumu ni hit and run ndicho alicho takiwa kufanya chibu.
 
Eee yaan watu washaweka picha ya wema na zari wanalinganishaa
Wawaache ni mapenzi yao watu tunajua kuhukumu kwelii, ,eti mzee ooo bibii wakati halingani hata na mama zao,,,
Mara tuzo walikosea,mbona kina Davido wamempongeza lakini kwa vile nabii hakubaliki kwao ni sawa na angekosa humu kina matola wangechangamka balaa nashukuru kapata kawafunga midomo watu wanatapatapa tu

Mhu...naona mwisho unataka unichambe na mie haaa!
 
una jua nini zai tuseme tu ukweli licha ya uzuri alio nao zari but ki ukweli yule dada kaenda sana age hastahili kua demu wa diamond ...hata ninge kua mimi nisinge acha kumchapa demu kama yule but kuweka kambi pale ingekua ngumu ni hit and run ndicho alicho takiwa kufanya chibu.

Kumbe wewe unajuaa ungegonga kabisaa Zari kifaa jamaniii ,,,halaf sio mkubwa kihivyoi kama wabavyomkuza watu humuu
 
Eee yaan watu washaweka picha ya wema na zari wanalinganishaa
Wawaache ni mapenzi yao watu tunajua kuhukumu kwelii, ,eti mzee ooo bibii wakati halingani hata na mama zao,,,
Mara tuzo walikosea,mbona kina Davido wamempongeza lakini kwa vile nabii hakubaliki kwao ni sawa na angekosa humu kina matola wangechangamka balaa nashukuru kapata kawafunga midomo watu wanatapatapa tu

Hapa ndipo mnapojigeuza vipofu ingali mna macho, mimi nasikiliza music ya aina nyingi kwanza kimsingi na kiuhalisia ni mpenzi wa dance hizi Bongo Fleva kwa sababu zimepewa airtime na hatimaye zimekubarika ndio maana tunazifuatilia na hata kwenye Bongo Fleva kwenyewe kwa miaka mingi nimeshiriki kwenye harakati za kina Sugu kuhakikisha hiphop inasimama.

Kama unadhani kuna mtu anamchukia Diamond unajidanganya mwenyewe My number remix ni nyimbo nzuri na hata video ni nzuri napenda kuisikiliza hata Ally Kiba anasikiliza nyimbo za Diamond lakini mtoto anapotembea na mama yake watu wenye akili timamu wataonya ila mashabiki maandazi ruksa kushabikia hata ujinga.

Diamond ni hard worker na Ally Kiba ni Talent na kwa mapenzi yangu namkubari Kiba pamoja na kwamba bado yuko chini ya manegement mbovu lakini ni free country.
 
Back
Top Bottom