Bima gani inayolipa nyumba kuanguka kwa mafuriko? ....nachokijua ni kuwa bima huwa hailipi kitu kilichosababishwa na natural disaster. .....surnami, tetemeko la ardhi, mafuriko vyote hivi bima huwa hailipi kama vinatokea na kuharibu Mali. Watuambie tu wanatangaza biashara
Shule ulifundishwaje? Sasa ikiwa bima haiwezi ku-cover losses zinazotokana na natural disaster hiyo bima itakuwa ni bima ya aina gani? Au unazungumzia Life Insurance? Anyway, CRDB wenyewe hawa hapa:Eleza ulichofundishwa shule.
Domestic Package InsuranceThis cover provides indemnity to an Insured against loss or damage to a private dwelling house including the household contents therein as a result of fire, theft, lightning, storm, earthquake, floods, water damage and other related perils.
Also covers liability at Law for your Workmens
Liability to third parties
Eleza ulichofundishwa shule.
kwaiyo wewe hapa umetumia akili sasa?
Yes nimetumia akili kwa akili yako unadhani official name ya diamond.ni diamond platnumz changanya na za kwako kaka
Bima gani inayolipa nyumba kuanguka kwa mafuriko? ....nachokijua ni kuwa bima huwa hailipi kitu kilichosababishwa na natural disaster. .....surnami, tetemeko la ardhi, mafuriko vyote hivi bima huwa hailipi kama vinatokea na kuharibu Mali. Watuambie tu wanatangaza biashara
Diamond Platnumz ameendelea kuwa na updates kila kukicha na hii ya leo ni baada ya ukuta wa nyumba yake kudondoka, Benki ya CRDB kupitia kitengo chake cha insurance imemkabidhi diamondi hundi ya hela kwa ajili ya kujengea ukuta wa nyumba yake.
View attachment 240069
Samahani GT wenzangu eti NASEEB ABDUL na DIAMOND PLATNUMZ ni mtu mmoja na anaweza ruhusiwa kwenda kuchukua hela akakubaliwa au ni mie ndio nisiyejua masuala ya benki yapoje... just curious, ndrukiiiiiiii
Diamond Platnumz ameendelea kuwa na updates kila kukicha na hii ya leo ni baada ya ukuta wa nyumba yake kudondoka, Benki ya CRDB kupitia kitengo chake cha insurance imemkabidhi diamondi hundi ya hela kwa ajili ya kujengea ukuta wa nyumba yake.
View attachment 240069
Bima gani inayolipa nyumba kuanguka kwa mafuriko? ....nachokijua ni kuwa bima huwa hailipi kitu kilichosababishwa na natural disaster. .....surnami, tetemeko la ardhi, mafuriko vyote hivi bima huwa hailipi kama vinatokea na kuharibu Mali. Watuambie tu wanatangaza biashara
Bima gani inayolipa nyumba kuanguka kwa mafuriko? ....nachokijua ni kuwa bima huwa hailipi kitu kilichosababishwa na natural disaster. .....surnami, tetemeko la ardhi, mafuriko vyote hivi bima huwa hailipi kama vinatokea na kuharibu Mali. Watuambie tu wanatangaza biashara
hawa waliolike sijui wanakukejeli au wamekubaliana na hu uutumbo? nenda ofisi za bima kapate elimu. Ni bure
Bima gani inayolipa nyumba kuanguka kwa mafuriko? ....nachokijua ni kuwa bima huwa hailipi kitu kilichosababishwa na natural disaster. .....surnami, tetemeko la ardhi, mafuriko vyote hivi bima huwa hailipi kama vinatokea na kuharibu Mali. Watuambie tu wanatangaza biashara