Diamond aonyesha Hundi ya pesa aliyokabidhiwa na UAP kupitia CRDB

Diamond aonyesha Hundi ya pesa aliyokabidhiwa na UAP kupitia CRDB

Bima gani inayolipa nyumba kuanguka kwa mafuriko? ....nachokijua ni kuwa bima huwa hailipi kitu kilichosababishwa na natural disaster. .....surnami, tetemeko la ardhi, mafuriko vyote hivi bima huwa hailipi kama vinatokea na kuharibu Mali. Watuambie tu wanatangaza biashara

Kama hujui uliza wajuzi wakujuze!
 
Eleza ulichofundishwa shule.
Shule ulifundishwaje? Sasa ikiwa bima haiwezi ku-cover losses zinazotokana na natural disaster hiyo bima itakuwa ni bima ya aina gani? Au unazungumzia Life Insurance? Anyway, CRDB wenyewe hawa hapa:
Domestic Package InsuranceThis cover provides indemnity to an Insured against loss or damage to a private dwelling house including the household contents therein as a result of fire, theft, lightning, storm, earthquake, floods, water damage and other related perils.
• Also covers liability at Law for your Workmen’s
• Liability to third parties
 
Eleza ulichofundishwa shule.

we unadhani ni ulichojifunza shule tu?una elimu ya bima na una practice bima? au unataka kuleta ubishi? au ndio ubush lawyer?
 
diamond ni insured/mteja
crdb ni broker/intermediary
UAP ni insurer
Yani hata ningekua mimi insurer au broker ningetake advantage kutangaza biashara yangu kutokana na kuanguka kwa ukuta wa diamond especialy kwa kuwa ame-insure nyumba yake
ningeshangaa marketing dept za hzi kampuni km wasingetake advantage katika hili
 
Bima gani inayolipa nyumba kuanguka kwa mafuriko? ....nachokijua ni kuwa bima huwa hailipi kitu kilichosababishwa na natural disaster. .....surnami, tetemeko la ardhi, mafuriko vyote hivi bima huwa hailipi kama vinatokea na kuharibu Mali. Watuambie tu wanatangaza biashara

Unajua Ex Gratia Payment wewe?
 
Diamond Platnumz ameendelea kuwa na updates kila kukicha na hii ya leo ni baada ya ukuta wa nyumba yake kudondoka, Benki ya CRDB kupitia kitengo chake cha insurance imemkabidhi diamondi hundi ya hela kwa ajili ya kujengea ukuta wa nyumba yake.

View attachment 240069

Samahani GT wenzangu eti NASEEB ABDUL na DIAMOND PLATNUMZ ni mtu mmoja na anaweza ruhusiwa kwenda kuchukua hela akakubaliwa au ni mie ndio nisiyejua masuala ya benki yapoje... just curious, ndrukiiiiiiii
 
Haha....Kama ww ni mtanzania mwenye access ya media ni lazma kila siku utalisikia jina la diamond...iwe kwa heri au kwa shari....
 
Diamond Platnumz ameendelea kuwa na updates kila kukicha na hii ya leo ni baada ya ukuta wa nyumba yake kudondoka, Benki ya CRDB kupitia kitengo chake cha insurance imemkabidhi diamondi hundi ya hela kwa ajili ya kujengea ukuta wa nyumba yake.

View attachment 240069

1/4/?? World foolish day!
Huyu jamaa Government name yake ni Diamond?? Au ile name ya Nasbu??
 
Maskini siju iyo nyumba aliyomjengea mwanae mtarajiwa itaiona maana Mkeyamganda anadai
ZARIIIIIII.jpg
 
Hamna lolote wanataka kick tu.

Kama Diamond angekuwa amepata Hilo Janga tungeshasikia.Kwanza inaweza hata hakuwa na Bima. alikuwa Ila wakatumia huo mwanya wa Janga lake ili kujitangaza.

CRDB na UAP wanatafuta kick Ya kibiashara,hamna lolote hapo!
 
Ndio one usanii wameandika aka Yake kwenye Cheki !!!! Hahahaha

UAP na CRDB msifanye watu misukule
 
Bima gani inayolipa nyumba kuanguka kwa mafuriko? ....nachokijua ni kuwa bima huwa hailipi kitu kilichosababishwa na natural disaster. .....surnami, tetemeko la ardhi, mafuriko vyote hivi bima huwa hailipi kama vinatokea na kuharibu Mali. Watuambie tu wanatangaza biashara

Uko nyuma sana. Inaonekana umekariri vitu. In practice you will get zero.
 
Bima gani inayolipa nyumba kuanguka kwa mafuriko? ....nachokijua ni kuwa bima huwa hailipi kitu kilichosababishwa na natural disaster. .....surnami, tetemeko la ardhi, mafuriko vyote hivi bima huwa hailipi kama vinatokea na kuharibu Mali. Watuambie tu wanatangaza biashara

hawa waliolike sijui wanakukejeli au wamekubaliana na hu uutumbo? nenda ofisi za bima kapate elimu. Ni bure
 
Bima gani inayolipa nyumba kuanguka kwa mafuriko? ....nachokijua ni kuwa bima huwa hailipi kitu kilichosababishwa na natural disaster. .....surnami, tetemeko la ardhi, mafuriko vyote hivi bima huwa hailipi kama vinatokea na kuharibu Mali. Watuambie tu wanatangaza biashara

Acha uongo, hakuna unachojua kumbe....!
 
Back
Top Bottom