Diamond apata mapokezi makubwa Mombasa leo

Msanii Punda hafai kushabikiwa katika maisha haya ya kitanzania, Diamond hajui na Hana kipaji simpendi na sitomshabikia hadi nakufa

kwani tangu ulivyoacha kumshabikia umempunguzia nini labda maana naona ndo kwanza matuzooo yanazidi had ana mahali pa kuyapaweka
 
Davido anakuhusu nini wewe! Acha kujiuza kwa wageni wewe!. Davido ndio mp.uuzi gani?

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 

hivi ww hujawah kuvunja maadl ya jamii eeh.hujawah kuzini,kusengenya,kusema uongo nk.toa kbanz chako jichoni.na eti mashabk wa chibu mapato yao n shida embu jiulze huyo msanii unaempenda ameshawah kufanya shoo ya kiinglio elf hamcn then pakajaza?
 
hivi ww hujawah kuvunja maadl ya jamii eeh.hujawah kuzini,kusengenya,kusema uongo nk.toa kbanz chako jichoni.na eti mashabk wa chibu mapato yao n shida embu jiulze huyo msanii unaempenda ameshawah kufanya shoo ya kiinglio elf hamcn then pakajaza?

Bibi wee achana nao...hawana LA kusema juu ya Chibu sasa wamehamia kwa mashabiki...wao wana nini labda? Heheheeeee.....!

Na bado marinda yataendelea kuwatatuka kwa kunya mafenesii .....Chibu juuu miaka 100000000000000000000000000000000000000005.075.....
 

uwiiii na fenesi jinsi lilivyo na miba yake sipati picha yaan mbona wana kaz ya kuibadilsha kaniki iwe nyeupe
 
ukisaidia masikini na wasiojiweza MUNGU anakuweka juu zaidi ana kubariki zaidi haya ndio yanayo tokea kwa huyu kijana msanii wa nchi diamond
 
,kuhusu kanda bongo man that was then, lets talk about now...
About a boy from tandale anaye semekana alikuwa anauza vocha leo ana make headlines kuzidi wanaodai wamezaliwa ushuani.
Hii ndiyo inaitwa starting from the bottom now I am on the top.
 
Huu ni ukweli mchungu kwa wengine lakini hakuna asiyekubali suala hilo pamoja na wale wanaom-dis... ni kweli, TUTAKE AU TUSITAKE, no one else nje ya mipaka ya Tanzania anaweza kupata mapokezi makubwa as compared to Chibu...
 

Kumbuka mpaka Rais wako ni team diamonf
 
Chokoraa kama wewe hata usipomshabikia humpunguzii chochote

watu kama wewe hua siwajibu na unavoandika unaonekana unamaisha magum sana na stress karibu zikuue
Angalia sasa... halafu unawaambia wenzako kwamba upeo wao wa kufikiri ni mdogo! Yaani unasema mtu kama huyo huwezi kumjibu wakati umeshamjibu!!! What a cra'p...
 

ume ongea kitoto sana.
 

Show ilikuwa ndani ya KILIMANJARO HOTEL
 
Huyu aloe vera inaonekana ni mwanafunzi wa Mkwajuni Primary School, hela ya kuendea tuition ananunulia bundle ya kutusumbua huku jukwaani
Yaani huyo ni mwanafunzi kabisa... mi mwenyewe baada ya kunijia ufahamu nikajilaumu kwamba nimepoteza muda kujibishana na mwanafunzi manake ni kumpa attention asiyostahili...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…