Diamond apata nomination ya MTV Europe Awards kwa kishindo

kedrick

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
5,080
Reaction score
4,914
Msanii na hifadhi ya taifa Diamond Platinumz amepata nomination ya best African act katika tuzo za MTV Europe awards zitakazofanyika Milan Italy.

Diamond amepita bila kupingwa pamoja na Davido, Yemi Alade, na Aka uku imebakia nafasi moja ya nominee ambapo ushindani ni kati ya Casper nyovest, wiz kid, DJ Arafat, K.o na stone boy ambao mshindi atapatikana kutokana na kupata tag nyingi za mashabiki.#inominatecaspernyovest

pwilo
cute b Shardcole
 
Kwa hiyo sisi tufanyeje? Tumpigie kura au?..hapa ni kazi tu..watampigia msiwe na wasiwasi..si yupo kule anakata mauno?
 
I dont know what wizkid did for them for sure kedrick
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Haaah ngoja anaweza pata iyo nafac iliobaki halafu naona mwakani ndo utakuwa mwaka wake
Hapana wanasema dogo ni jeuri sana yani anaringa sana ndo maana tuzo nyingi wanambania ila wizkid Africa hamna kama yule kwa sasa davido promo nyingi ila hamuwezi hata kidogo wizkid na lisauti lake kama chura
 
Reactions: aye
Mleta uzi huyo mondi wako ujiandae kumpigia kura mana hatuwezi tena kumpa kura zetu mtu asiyependa mabadiliko,...
 
Hapana wanasema dogo ni jeuri sana yani anaringa sana ndo maana tuzo nyingi wanambania ila wizkid Africa hamna kama yule kwa sasa davido promo nyingi ila hamuwezi hata kidogo wizkid na lisauti lake kama chura

Yap jamaa hanatakiwa akue now aache dharau hata kwny bet awards hakuenda
 
Mleta uzi huyo mondi wako ujiandae kumpigia kura mana hatuwezi tena kumpa kura zetu mtu asiyependa mabadiliko,...

Mabadiliko gani embu nielekezee jua kuna maisha baada ya uchaguzi
 
Hapana wanasema dogo ni jeuri sana yani anaringa sana ndo maana tuzo nyingi wanambania ila wizkid Africa hamna kama yule kwa sasa davido promo nyingi ila hamuwezi hata kidogo wizkid na lisauti lake kama chura

Wizkid ni mkali sana sema kiburi ndio tatizo
 
watu wa kaskazini tunaruhusiwa kumpigia kura? maaana alitukandia sana......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…