Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
watu wa kaskazini tunaruhusiwa kumpigia kura? maaana alitukandia sana......
Sasa unamuomba ruhusa mleta uzi au mode?? wewe angalia moyo wako au subiri hasira ziishe, kama ambavyo Shardcole alivyosema kwa sasa hampigii tena kiba kura mpaka hasira ziishe, this means baada ya uchaguzi anaendelea kumpa support kama kawa. Mahaba vepe?
Last edited by a moderator: