Diamond apata shavu , kutumbuiza na Neyo United Kingdom

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Diamond platnumz ameendelea kukuza mziki wake baada ya kupata shavu kubwa la kutumbuiza kwenye majukuu makubwa nnchi uingereza akiwa na mkali kutoka marekani Neyo.
Mtandao wa Revolt Africa umetoa taarifa hiyo.
Diamond mwenyewe kwenye kipindi cha playlist cha times fm alisema amekuwa karibu na Neyo na kuna mambo makubwa anajifunza na wanafanya pamoja
Ziara hiyo itafanyika kwenye miji 6 uko United Kingdom
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…