brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Diamond platnumz ameendelea kukuza mziki wake baada ya kupata shavu kubwa la kutumbuiza kwenye majukuu makubwa nnchi uingereza akiwa na mkali kutoka marekani Neyo.
Mtandao wa Revolt Africa umetoa taarifa hiyo.
Diamond mwenyewe kwenye kipindi cha playlist cha times fm alisema amekuwa karibu na Neyo na kuna mambo makubwa anajifunza na wanafanya pamoja
Ziara hiyo itafanyika kwenye miji 6 uko United Kingdom
Mtandao wa Revolt Africa umetoa taarifa hiyo.
Diamond mwenyewe kwenye kipindi cha playlist cha times fm alisema amekuwa karibu na Neyo na kuna mambo makubwa anajifunza na wanafanya pamoja
Ziara hiyo itafanyika kwenye miji 6 uko United Kingdom