ANGALIA HILO BANGO UJUE YEYE ANAONEKANA NI WA LEVEL ZIPI ........ yeye ni mmoja kati ya kundi kuuuuuuuuuubwa la wasanii litakalo perfom na ambao hata kwenye bango hawajawekwa, na hata kwenye matangazo yao ya barabarani na redio na tv HAWATAJWI.A
Ana show na chris brown mombasa pia
Uko sahihi,kumtaja Kiba kwenye shoo ya Mombasa ni kuwatukana waandaaji ambao HATA WAO WENYEWE HAWAWATAJI (maana kuna wasanii wengi sana wa Kenya watapefom siku hiyo) HEBU ONA HILI BANGO.Wizkid & Chris Brown
Diamond & NeYo
na huko anashtukiza nnZakushitukiza tena
Mr.kibakuli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,poa poa ila hajapost tangu 26 Sept ,jana alichungulia chungulia tu humu af akasepaKweliiiiiiii
Halafu mkuu namtafuta me and I utakapo muona nistue, nna muhutaj sana, kapotea sana tangu ile team yao ikose jipya hapa town
HahahahahaAli Kiba & Man Fongo.
Duh! Hatari sanaTofautisha show na tour mkuu
Siku hiyo hata kina man fongo wa kenya wata perform
Roho ngumu kweli kweli...kumfananisha huyu jamaa na Rais wa kariakoo inataka uwe na roho ngumu
Mombasa..!?A
Ana show na chris brown mombasa pia
ni kama ronaldoWCB sio watu wa mchezo mchezo!
Hahaa kwahiyo show ni kiki mwenzako anagonga elaAli Kiba ashaimba na R Kelly na wala hapendi kiki.