Ali Kiba ashaimba na R Kelly na wala hapendi kiki.
[emoji23][emoji23]asante umenichekesha sanaAli Kiba ashaimba na R Kelly na wala hapendi kiki.
Kiba apata shavu la kutumbuiza na manfongo.Ni katka fiesta ya mwisho DarDiamond platnumz ameendelea kukuza mziki wake baada ya kupata shavu kubwa la kutumbuiza kwenye majukuu makubwa nnchi uingereza akiwa na mkali kutoka marekani Neyo.
Mtandao wa Revolt Africa umetoa taarifa hiyo.
Diamond mwenyewe kwenye kipindi cha playlist cha times fm alisema amekuwa karibu na Neyo na kuna mambo makubwa anajifunza na wanafanya pamoja
Ziara hiyo itafanyika kwenye miji 6 uko United Kingdom
View attachment 413812
na ali kiba wangapi?Tungekuwa na Diamond watatu,,Tanzania ingepiga hatua sana.Big up Chibu Dangote.
Dah hapo pagumu aisee.. Ila mi naona Chris Brown mkali.Hivi jaman diamond na Chris brown nani mkali kimziki?
Imefika stage hata sishangai yaan mchiz mambo yanamnyookea tu.
Hardwork pays
sana mkuu, kuna jamaa zangu huwa nawashushia hizi story zako kwa epsode mida ya lunch wao wanalipia lunch tu. Ila nawambia nakozipata na nina hakika nimekuongezea some followers.Hahahaha nitahakikisha nakumbuka Mkuu..
Hopeful this weekend ntaweka stori mpya..
Nashukuru sana Mkuu..Ubarikiwe
sana mkuu, kuna jamaa zangu huwa nawashushia hizi story zako kwa epsode mida ya lunch wao wanalipia lunch tu. Ila nawambia nakozipata na nina hakika nimekuongezea some followers.
Koffi akija bongo au msanii yeyote yule wa kikongo akiimba huwa unamuelewa kila kitu?ila mbona watu wanajaa?Kwa hiyo atawaimbia Salome wazungu? You are not serious bro.
Duh sasa huyo Chris Brown si international artiste ukiingia tu Zambia ukaulizia kuna mwanamziki anaitwa Dimond watakwambia madini hayawezi kuimba.Dah hapo pagumu aisee.. Ila mi naona Chris Brown mkali.
Mkuu mbona unachanganya mambo post inamuhusu diamond kupata shavu huko majuu wewe unaleta mapicha ya mombasa huoni unachanganya watu!Msanii hata wandaaji hawajakuweka kwenye mabango yao.
Watu wacha wamchukie wamseme kila wanavyotaka kumsema, lakini jamaa anastahili kusema kweli anajituma sana na juhudi zake ndiyo zinazidi kumpatia umaarufu mkubwa ndani na nje ya mipaka ya Tanzania. Wenye roho mbaya wanajaribu kumzushia kwamba anajihusisha na biashara ya unga kwa sababu ana pesa nyingi kuliko wanavyoona wao. Baadhi ya Wabongo ndivyo walivyo wana roho mbaya kuliko hata mashetani.
He he...Mkuu mbona unachanganya mambo post inamuhusu diamond kupata shavu huko majuu wewe unaleta mapicha ya mombasa huoni unachanganya watu!
mbona neyo aliwaimbia so sick wasukuma wa mwanza!!Kwa hiyo atawaimbia Salome wazungu? You are not serious bro.