Diamond ashinda tuzo za AELA awards 2016 nchini Nigeria

Nasema nawe mwaka jana ilichukua tuzo kama wimbo bora wa mwaka Africa
Nitampata wapi ushawahi kuchukua tuzo
Je utanipenda imechukua tuzo kma wimbo bora wa afro pop africa

Au na apo alinunua????
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Jamaa hawachonoki kila anaeuliza anajibiwa na mifano zaid ya miwili harudi tena kuuliza, wao waulize swali moja tu, wataje show moja aliyoifanya kiba nje ya Tz tofauti na mombasa na zile za kusindikiza wenzie wakipokea tuzo hawajibu kabisa
 
Ahaha! Ngoja waje wale team kunaniliu zianze povu hapa.
 
Mbona fumbo zito?
 
Mkuu umeongea ukweli Mond anasahili pongezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…