Picha ya nini sasa ? Plate number?
Picha ya nini sasa ? Plate number?
Leta picha tuamini.
Sasa kwenye huu uzi umefata nini na wewe?simple minds ndo huwaga zinawa discuss watu, fanya yako na wewe.
Umepotea njia, hili jukwaa ni la kuwachambuwa na kuwachamba maceleb, wenye akili wenzako wapo kwenye majukwaa yao wanaijadili bajeti wewe huku unataka nini? Nenda basi hata jukwaa la elimu ukapate elimu!!simple minds ndo huwaga zinawa discuss watu, fanya yako na wewe.
Hapana mkuu, tungeshachinjana zamani, inahitaji moyo mgumu kuvumilia upuuzi kama ule wa Dakta Tulia. Ni bora watu wapotezee tu siasa hizi uchwara ili waongeze hata uhai wao.The way Diamond anavyo chukuliwa serious na watanzania
ingekuwa hivyo hivyo na siasa za nchi hii tungefika mbali sana
Uneongea my mind!! Ukichukulia siriaz siasa za bongo ni mwanzo wa kufa kwa kiungulia... Maana walioshika kwenye mpini wanakera mpaka mtu unaweza kulia machoziHapana mkuu, tungeshachinjana zamani, inahitaji moyo mgumu kuvumilia upuuzi kama ule wa Dakta Tulia. Ni bora watu wapotezee tu siasa hizi uchwara ili waongeze hata uhai wao.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] sendozi mil 10 doh hatar sanaHiyo milioni kumi bora amnunulie tiffa sendozi kali.
Wakuu, poleni na mfungo.
Kama mtakumbuka, siku chache zilizopita nilitoa angalizo kuwa matumizi mabaya ya fedha ya kijana wetu Diamond yanaweza kupelekea nyota huyu kufilisika na kujikuta anaungana na wasanii wengine waliowahi kung'aa lakini wameshafulia.
Kana kwamba Mungu alikuwa pamoja nami, leo utabiri wangu unaanza kutimia.
Akiongea na kipindi cha Amplifaya cha CLOUDS FM na kutoa maoni yake juu ya uamuzi wa serikali kupandisha ada ya kulipia number plate kwa watu wanaoweka majina yao kutoka shs milioni 5 hadi 10, mwanamuziki huyo amesema hana tena mpango wa kuweka jina kwenye gari lake na sasa atarudia utaratibu wa zamani wa kuweka namba kama watu wengine wafanyavyo.
"Unajua ule ulikuwa ni ujana tu, na mtu ukiwa kijana unataka kujaribu kila kitu. Ila kwa sasa nimeshakua hivyo sitoweka tena jina langu". Alisikika akijishaua nyota huyo wa WCB akijaribu kujikakamua ili kuonyesha ni kukua ndiyo kumemfanya abadili maamuzi lakini WENYE AKILI tumemshtukia.
My advice: Raia wema tunapotoa ushauri juu ya jambo lolote yapaswa tusikilizwe na siyo kuchukuliwa poa.
[emoji173] [emoji817] %[emoji7] -my best kwa kumpa ukweli wake . Ujue kuna mijitu inaSo what ?
Alizipata kwa jasho lake. Wewe ni nani tu mpaka
Uyaone hayo matumizi mabaya? Hata akitaka kutawaza kwa kutumia fedha shida iko wapi ?
Fedha Zake afanye atakalo ni ZAKE Si ZAKO.
Dahhh kazi nzito afanye Jamaa wengine wamsaidie kupangilia fedha la jasho lake....... . Lol😎😎[emoji173] [emoji817] %[emoji7] -my best kwa kumpa ukweli wake . Ujue kuna mijitu ina
Roho mbaya sana, mwenzao akifanikiwa badala wajiulize alifanikiwa vp sasa ndo wanafanya kila njia ya kumshusha.