Diamond ashindwa kulipia Plate Number

Diamond ashindwa kulipia Plate Number

Picha ya nini sasa ? Plate number?

Leta picha tuamini.

ImageUploadedByJamiiForums1465581003.079721.jpg
 
Hapana mkuu, tungeshachinjana zamani, inahitaji moyo mgumu kuvumilia upuuzi kama ule wa Dakta Tulia. Ni bora watu wapotezee tu siasa hizi uchwara ili waongeze hata uhai wao.
Uneongea my mind!! Ukichukulia siriaz siasa za bongo ni mwanzo wa kufa kwa kiungulia... Maana walioshika kwenye mpini wanakera mpaka mtu unaweza kulia machozi
 
Naona amefanya sawa tu,kusoma alama za nyakati muhimu sio kulazimisha mambo tu kisa yeye ni msanii..!
 
Wakuu, poleni na mfungo.

Kama mtakumbuka, siku chache zilizopita nilitoa angalizo kuwa matumizi mabaya ya fedha ya kijana wetu Diamond yanaweza kupelekea nyota huyu kufilisika na kujikuta anaungana na wasanii wengine waliowahi kung'aa lakini wameshafulia.

Kana kwamba Mungu alikuwa pamoja nami, leo utabiri wangu unaanza kutimia.

Akiongea na kipindi cha Amplifaya cha CLOUDS FM na kutoa maoni yake juu ya uamuzi wa serikali kupandisha ada ya kulipia number plate kwa watu wanaoweka majina yao kutoka shs milioni 5 hadi 10, mwanamuziki huyo amesema hana tena mpango wa kuweka jina kwenye gari lake na sasa atarudia utaratibu wa zamani wa kuweka namba kama watu wengine wafanyavyo.

"Unajua ule ulikuwa ni ujana tu, na mtu ukiwa kijana unataka kujaribu kila kitu. Ila kwa sasa nimeshakua hivyo sitoweka tena jina langu". Alisikika akijishaua nyota huyo wa WCB akijaribu kujikakamua ili kuonyesha ni kukua ndiyo kumemfanya abadili maamuzi lakini WENYE AKILI tumemshtukia.

My advice: Raia wema tunapotoa ushauri juu ya jambo lolote yapaswa tusikilizwe na siyo kuchukuliwa poa.

Huu upeo wako una uhusiano wowote na LOWASA??
 
Watu wengine kujishaua tu kuwafuatilia mastaa utafikiri wanakufahamu na huo ushauri wako dada sogeza mbele maana wewe kila ukileta uzi unamshauri diamond ama unapinga kile akifanyacho matumizi ya simu sio hayo tu yapo mengi ila mastaa achana nao tafuta wa saizi yako ndo muwe mnashauriana
 
So what ?

Alizipata kwa jasho lake. Wewe ni nani tu mpaka
Uyaone hayo matumizi mabaya? Hata akitaka kutawaza kwa kutumia fedha shida iko wapi ?

Fedha Zake afanye atakalo ni ZAKE Si ZAKO.
[emoji173] [emoji817] %[emoji7] -my best kwa kumpa ukweli wake . Ujue kuna mijitu ina
Roho mbaya sana, mwenzao akifanikiwa badala wajiulize alifanikiwa vp sasa ndo wanafanya kila njia ya kumshusha.
 
[emoji173] [emoji817] %[emoji7] -my best kwa kumpa ukweli wake . Ujue kuna mijitu ina
Roho mbaya sana, mwenzao akifanikiwa badala wajiulize alifanikiwa vp sasa ndo wanafanya kila njia ya kumshusha.
Dahhh kazi nzito afanye Jamaa wengine wamsaidie kupangilia fedha la jasho lake....... . Lol😎😎
 
Back
Top Bottom