Diamond ashindwa kulipia Plate Number

Nimepitia website ya Millard Ayo kaandika "anakosa uhuru wa kutembea na gari lake,akipita sehemu watu wanajua ni Diamond kapita"
 
namkae mkijua milion 5 ilikuwa inalipiwa kwa miaka mitatu sasa hii milion 10 unalipiwa kwa mwaka
 
JPM nouuum
 
namkae mkijua milion 5 ilikuwa inalipiwa kwa miaka mitatu sasa hii milion 10 unalipiwa kwa mwaka

Sio issue kakuambia ni kero , a nashindwa kujiiba halafu hizo mil 10 no Kwa miaka mitatu mama
 
So what ?

Alizipata kwa jasho lake. Wewe ni nani tu mpaka
Uyaone hayo matumizi mabaya? Hata akitaka kutawaza kwa kutumia fedha shida iko wapi ?

Fedha Zake afanye atakalo ni ZAKE Si ZAKO.
hakuna mtu mwenye fedha zake, fedha zote ni za serikali
 
Sio issue kakuambia ni kero , a nashindwa kujiiba halafu hizo mil 10 no Kwa miaka mitatu mama
Ina maana hana gari nyingingine kwa ajili ya faragha zake?Au ndo analo hilo moja tu?
 
Sema kwa sasa hela bado ipo ila hataki tena. Ni kujichora tu.

Sijui Mheshimiwa wangu aliyehonga ile plate number itakuwaje

Tena ilitakuwa walipie kila nwaka ili tuheshimiane.
 
Mtu anaacha mambo ya msingi ila yuko tayari kugharamia na kufatilia trends za diamond. Hata wasanii wa mbele hushangaa sana fans wakibongo like they take entertainment things way too seriously. Mfano ni T.I alivyokuja bongo fiesta, alisema hvyo hvyo.

Nilishangaa sanaa siku moja mbele nikipiga story za msanii mmoja maarufu wa mbele na watu flan nd they were like...suprised to what im saying. Ndio unakuta wanamsikia sikia ila its that they just don't bother or have the time following toe to toe on the artist's issues. Mpaka ufikie such a level basi ni msanii mzito kweli kweli.
 
Kwa sasa Mpango kakurupuka kupandisha hio bei...kama kusudio ni kupata zaidi hali ilivo..kila mmoja atarudi kwenye Tz number....hivyo huu sawa kusema amezifuta hizi plates number
 
Acha kufuatilia watu, diamond katoa sababu nzuri tu zaidi ya huo umbea uloleta hapa,
 
kuacha kunywa bia haimaanisha mtu kafirisika labda kabadili mfumo wa maisha afanyr yaliyo ya maana zaidi.
same applied to plate number na diamond
 
jane hukusikiliza vzr alisema kwanza halitumiag lile gar lenye jina platnumz mara nying coz anakuwa hayupo huru akipita tu wat wanajua dimond kapita so ni kama hela alikuwa analipia bure tu sometime hawez kwenda sehem na gar lenye jina lake so vile naw kulipia ni mil10 ameona hainahaja ya kulipia bora iyo pesa apeleke sehem nyingine nenda yutube millard ayo
 
Sio mbaya kupunguza matumizi yasio na lazima maana kama pesa ni yake na sioni km kuna tatizo kubadili matumizi nayo.
 
Aacha utani ametoka kutoa msaada wa madawati 6000 juzi tu eti leo kafulia
 

Some feed off entertainment thangs, so it's only fair that they take it seriously.

Nimependa hapo ulipoweka jina la hiyo msanii wa mbele kapuni as if akisoma ume-reveal kuwa mlipiga story atakuwa disappointed in you. Ila ni wapi dunia hii wasipofuatilia maisha ya watu maarufu??
 
The way Diamond anavyo chukuliwa serious na watanzania
ingekuwa hivyo hivyo na siasa za nchi hii tungefika mbali sana
Mkuu Watanzania wangapi wanamchukulia 'serious' Diamond kiasi cha wewe kutoa kauli hii?
 
The way Diamond anavyo chukuliwa serious na watanzania
ingekuwa hivyo hivyo na siasa za nchi hii tungefika mbali sana
Diamond ni mkubwa kuliko siasa ... take him very serious
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…