Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Staa wa Bongo Fleva Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa mwezi ujao kabla ya mwezi mtukufu wa Ramadhan anamuoa Zuchu.
Soma: Zuchu amlipua Diamond na familia yake. Adai kufanyiwa Unyanyasaji na Ukandamizaji, kuiburuza mahakamani Wasafi FM
Diamond Platnumz amepinga na Nandy kabisa kuonyesha kuwa hatanii yupo siriazi
Ndoa tunayo hatuna?
Soma: Zuchu amlipua Diamond na familia yake. Adai kufanyiwa Unyanyasaji na Ukandamizaji, kuiburuza mahakamani Wasafi FM
Diamond Platnumz amepinga na Nandy kabisa kuonyesha kuwa hatanii yupo siriazi
Ndoa tunayo hatuna?