ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
😀😀😀😀Lissu ni muhimu kuliko hii ndoaNi jambo zuri ila tusisahau kumuunga mkono Tundu Lissu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀Lissu ni muhimu kuliko hii ndoaNi jambo zuri ila tusisahau kumuunga mkono Tundu Lissu.
Mi nashangaa hata haka katoto kuitaka ndoa na mondi bin laden 🤣🤣 honestlyHaoi huyo, mama ake ana wivu nae utadhani mme.....haoi atakaa tu na mama ake.
Na hizo ndio ndoa bora kwa ulimwengu wa sasa.Ndo ndoa za kiislamu hizo ni za mkataba
Unafunga ndoa leo siku 30 Ramadan ikiisha mnaachana
Hapo inabidi ukae vizur tu na wazee watukufu wa kiislamu wazee wa kuhalalisha ndoa na kuhalalisha kuachana
Very simple
Kashauri haka katoto kuhusu monde sio muoaji kakiniMamas boy kumbee
Hizo siyo ndoa sasa ni uzinziNa hizo ndio ndoa bora kwa ulimwengu wa sasa.
Hakuna gharama ya sijui usafiri ....hahaaKadhalika ndoa inaweza kufungwa Bibi harusi akiwa Bukoba na Bwn harusi akiwa Mtwara anaendelea na shughuli zake
kwani .. "Jamaa ".., wa kuandika kesha kuacha?Sijawahi kuamini chochote kinachotoka mdomoni kwa Diamond, Zuchu akiolewa na mimi naolewa 🤣🤣🤣