Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shoga kwani hujaona yanayoendelea kati yake na Juma ambayo yalianzia siku waliyomuhoji Momo?Kanuna anataka kuolewa? Daaah ataweza timbwili za ile familia, au wamezeeka wamekuwa watu 😁
Huu upuuzi wao wasituhusisheStaa wa Bongo Fleva Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa mwezi ujao kabla ya mwezi mtukufu wa Ramadhan anamuoa Zuchu.
Soma: Zuchu amlipua Diamond na familia yake. Adai kufanyiwa Unyanyasaji na Ukandamizaji, kuiburuza mahakamani Wasafi FM
Diamond Platnumz amepinga na Nandy kabisa kuonyesha kuwa hatanii yupo siriazi
Ndoa tunayo hatuna?
View attachment 3206564
Siku hizi napitwa sana na habari za udaku, yani nmebaki jf tu na whatsapp nkiingia insta sekunde tu bando bye.....Shoga kwani hujaona yanayoendelea kati yake na Juma ambayo yalianzia siku waliyomuhoji Momo?
Ndio chanzo cha yote haya, pitia snap za Zuchu kanuna hana time na Dai ndio anabembelezwa hivyo.
Mamas boy kumbeeHaoi huyo, mama ake ana wivu nae utadhani mme.....haoi atakaa tu na mama ake.
😂😂😂 Daah mjini chuo kikuuSijawahi kuamini chochote kinachotoka mdomoni kwa Diamond, Zuchu akiolewa na mimi naolewa 🤣🤣🤣
Ili mradi tu muwachokoze waislamNdo ndoa za kiislamu hizo ni za mkataba
Unafunga ndoa leo siku 30 Ramadan ikiisha mnaachana
Hapo inabidi ukae vizur tu na wazee watukufu wa kiislamu wazee wa kuhalalisha ndoa na kuhalalisha kuachana
Very simple
Waislam na Christian hawachekani Sasa ... Ndoa zenye nafuu Sasa hivi ni za waabudu mashetani wao wanaelewaa maana ya ndoa na athari zake..Ndo ndoa za kiislamu hizo ni za mkataba
Unafunga ndoa leo siku 30 Ramadan ikiisha mnaachana
Hapo inabidi ukae vizur tu na wazee watukufu wa kiislamu wazee wa kuhalalisha ndoa na kuhalalisha kuachana
Very simple
Unatakaje? Ndoa ni idhini tu ya muowaji na muolewaji pamoja na msimamizi wakeKadhalika ndoa inaweza kufungwa Bibi harusi akiwa Bukoba na Bwn harusi akiwa Mtwara anaendelea na shughuli zake
Ikitokea tutangaze yetu hadharaniSijawahi kuamini chochote kinachotoka mdomoni kwa Diamond, Zuchu akiolewa na mimi naolewa 🤣🤣🤣
Mkuu temea chini!At least ataonja ndoa na FLAT take😂😂😂
Ccm Kwakweli inatukwaza sana kuweka mbele nikitua type ya mwijakuStaa wa Bongo Fleva Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa mwezi ujao kabla ya mwezi mtukufu wa Ramadhan anamuoa Zuchu.
Soma: Zuchu amlipua Diamond na familia yake. Adai kufanyiwa Unyanyasaji na Ukandamizaji, kuiburuza mahakamani Wasafi FM
Diamond Platnumz amepinga na Nandy kabisa kuonyesha kuwa hatanii yupo siriazi
Ndoa tunayo hatuna?
View attachment 3206564
Mtu wa maana kabisa weweNi jambo zuri ila tusisahau kumuunga mkono Tundu Lissu.
Hawa wanajuwa kucheza na akili za mazazwaaSijawahi kuamini chochote kinachotoka mdomoni kwa Diamond, Zuchu akiolewa na mimi naolewa 🤣🤣🤣