Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,370
Ni baada ya huyu mdada kutoka uganda ZARI a.k.a The boss lady binti tajiri east afica nzima mwenye gari na nyumba za kifahari kuwa karibu awali na "sukari ya warembo"
wawili hao walipanda ndege pamoja ili kuja Tz wakifurahia safari yao kwa kujipiga picha zao na kuziweka hadharani mtandaoni, ila haikuishia hapo ambapo wawili hao walipotua dar waliendelea kula bata kwa style ya aina yake maeneo ya beach wakiwa wamepose kwenye picha zikionyesha kimwana zari hajiwezi kujinasua katika mahaba mazito anayopewa na kijana Dangote

View attachment 200372View attachment 200373View attachment 200374
 
Shemeji wa Tanzania vp tena. Kweli sukari ya warembo dongote
 
Hata suku 1 diamond hawezi mpiga huyu demu. Huyu demu ana hela chafu ata diamond hafikii hapo, ana ma boutique south africa huko ni balaa na maduka ya cosmetics dinga ndio usi seme we una dhani ana chapika kirahisi huyu. Zaidi labda aliona diamond ni msanii na ni maarufu na wote wako ndege moja sio mbaya waki piga selfies. Basi ndio mchezo ukaishia hapo... Afu kitu kingine, msije mka jidanganya eti diamond ata kuja kumuoa wema hio haipo, pale ana piga tu basi na yule demu ana jua hamna ndoa hapa ni funyox tu.
 
Sawa chibu,ila sasa,hawa wapambe wako wanakuharibia huku maana unaonekana umejinadi kisa umepiga picha na demu mwenye pesa east africa nzima na kupanda nae ndege then sjui nini cha ajabu,kwani ndo vipi yaan?tumejua sasa kuwa we umepiga selfie na demu mwenye pesa tukusaidie nini sasa??????au tufanyaje???? Kwani si ishu ya kawaida hii!!!!! Acha ujinga aiseee.

Sent from my radio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…