Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima


point of correction, nye.ge hazina heshima wala pesa, hata awe na maboutique dunia zima when it comes to conjugal needs has no counts. binafsi nakataa mondi kutoka na zari ila si kwa sababu eti zari anapesa ndefu. NOPE!
 
Ni kwelii sema ana mabifu anaogopaa teh teh

Mjini watu wakikujua ni hatareeeeee si unaona hata ya mwaka 45 yatafufuliwa. Yanageuzwa fimbo ya kuchapiwa nayo. Alishasema kamwe hawezi kuweka wazi iwe mama yake, mtoto wake n.k.

Alafu familia yao inajiweza sana tu
 

tena asijethubutu kumuweka hadhazani maanake atakavyochambuliwa sipati picha.
 

DUDU ikihitaji DUSHE futa neno PESA futaaaaa!!!!!
 
Diamond, kiba, zari n.k muda huu hata hawajui Kama kuna uwepo wa mtu kama mimi au wewe unaenisoma ila tunatoana macho hapa. Wandugu tofauti zetu za kimitizamo na kihisia zisitufanye tutoane macho wakati hata hatufahamiani. Ushabiki upo ila tetea kwa kutumia strength za umshabikiaye na usivuke mipaka na kuattack mtoa maoni.
 

Mi nilidhan unasema Dai,kiba,zari wapo wote na picha umerusha looo nikawah fasta umbea huuu haina mbaya kushabikia mtu unaempenda ila sio vizuri mi nitoe maoni halaf mtu anikoti anikaripiee weeee mara ya mwisho kukaripiwa bado nipo home, sasa hiv na ukubwa huu unikaripiee nikuangalie tu labda niwe nimekunywa viroba hivi hivii tu oooooo
Halaf Dai anajua uwepo wetu sana hata kiba pia, ushabiki sio mpaka ulipwee
 

Ndo maana nilisema MTU asivuke mipaka na kuattack member ?. Why akukaripie? Si akamkaripie dai ambaye anajadiliwa hapa.
 
Mjini watu wakikujua ni hatareeeeee si unaona hata ya mwaka 45 yatafufuliwa. Yanageuzwa fimbo ya kuchapiwa nayo. Alishasema kamwe hawezi kuweka wazi iwe mama yake, mtoto wake n.k.

Alafu familia yao inajiweza sana tu

Ni kweli aiseee aache tu
 
Ndo maana nilisema MTU asivuke mipaka na kuattack member ?. Why akukaripie? Si akamkaripie dai ambaye anajadiliwa hapa.

Nawe kwa ushaurii ,haya tuendelee na menginee,leo usinitoroke kwenye my ushuz sawaaaaaaqq
 
Nawe kwa ushaurii ,haya tuendelee na menginee,leo usinitoroke kwenye my ushuz sawaaaaaaqq

Aka sijashauri nimecomment. Hahahaha we mie Niko kijijini siwezi ona hyo shuz bwana. Ingekuwa clouds fm sawa. Ntaangalia recorded.
 
Aka sijashauri nimecomment. Hahahaha we mie Niko kijijini siwezi ona hyo shuz bwana. Ingekuwa clouds fm sawa. Ntaangalia recorded.

Nawee nipishe sasa upo kijiji kipi hicho hakina tv jaman si ungeenda na king'amuz halaf ukawaachiaaa,unaniudhi ujuee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…