Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

Hata suku 1 diamond hawezi mpiga huyu demu. Huyu demu ana hela chafu ata diamond hafikii hapo, ana ma boutique south africa huko ni balaa na maduka ya cosmetics dinga ndio usi seme we una dhani ana chapika kirahisi huyu. Zaidi labda aliona diamond ni msanii na ni maarufu na wote wako ndege moja sio mbaya waki piga selfies. Basi ndio mchezo ukaishia hapo... Afu kitu kingine, msije mka jidanganya eti diamond ata kuja kumuoa wema hio haipo, pale ana piga tu basi na yule demu ana jua hamna ndoa hapa ni funyox tu.

point of correction, nye.ge hazina heshima wala pesa, hata awe na maboutique dunia zima when it comes to conjugal needs has no counts. binafsi nakataa mondi kutoka na zari ila si kwa sababu eti zari anapesa ndefu. NOPE!
 
Ni kwelii sema ana mabifu anaogopaa teh teh

Mjini watu wakikujua ni hatareeeeee si unaona hata ya mwaka 45 yatafufuliwa. Yanageuzwa fimbo ya kuchapiwa nayo. Alishasema kamwe hawezi kuweka wazi iwe mama yake, mtoto wake n.k.

Alafu familia yao inajiweza sana tu
 
sasa dina anamfichaje kwa mfano? kama baba na mama na ndugu wengine wanamjua sisi wambea tuna faida gani kulazimisha kumjua mtoto wa watu? siku moja pokello instagram aliulizwa na followe mmoja kwamba mahusiano yake na elikem yapoje akamjibu yule follower unaniuliza ukiwa kama baba yangu au nani? heri awafiche tu manake sie binadam hatufai kwa umbea, unaona hata zari hapa anatafutiwa sababu

tena asijethubutu kumuweka hadhazani maanake atakavyochambuliwa sipati picha.
 
For what I know huyu demu pesa anayo na wala sio ya kusingizia... hizo boutiques ni sehemu tu ya michongo yake... kama sikosei (don't quote me) nadhani anamiliki au ana share za kutosha tu kwenye vyuo vinavyoenda kwa jina la Brooklyn City Colleges pande za South Africa. Lakini hata hivyo, sidhani kama biashara zake zote ni clean businesses! Mond kwa Zari ni kama mbingu na ardhi sema ndo vile tena, ilipo papuchi lazima itafute dushelele na wala haina fixed conditions kwa kuzimechisha!! Vigezo na masharti mara nyingi hubadilika kutegemeana na mazingira!!!

DUDU ikihitaji DUSHE futa neno PESA futaaaaa!!!!!
 
Diamond, kiba, zari n.k muda huu hata hawajui Kama kuna uwepo wa mtu kama mimi au wewe unaenisoma ila tunatoana macho hapa. Wandugu tofauti zetu za kimitizamo na kihisia zisitufanye tutoane macho wakati hata hatufahamiani. Ushabiki upo ila tetea kwa kutumia strength za umshabikiaye na usivuke mipaka na kuattack mtoa maoni.
 
Diamond, kiba, zari n.k muda huu hata hawajui Kama kuna uwepo wa mtu kama mimi au wewe unaenisoma ila tunatoana macho hapa. Wandugu tofauti zetu za kimitizamo na kihisia zisitufanye tutoane macho wakati hata hatufahamiani. Ushabiki upo ila tetea kwa kutumia strength za umshabikiaye na usivuke mipaka na kuattack mtoa maoni.

Mi nilidhan unasema Dai,kiba,zari wapo wote na picha umerusha looo nikawah fasta umbea huuu haina mbaya kushabikia mtu unaempenda ila sio vizuri mi nitoe maoni halaf mtu anikoti anikaripiee weeee mara ya mwisho kukaripiwa bado nipo home, sasa hiv na ukubwa huu unikaripiee nikuangalie tu labda niwe nimekunywa viroba hivi hivii tu oooooo
Halaf Dai anajua uwepo wetu sana hata kiba pia, ushabiki sio mpaka ulipwee
 
Mi nilidhan unasema Dai,kiba,zari wapo wote na picha umerusha looo nikawah fasta umbea huuu haina mbaya kushabikia mtu unaempenda ila sio vizuri mi nitoe maoni halaf mtu anikoti anikaripiee weeee mara ya mwisho kukaripiwa bado nipo home, sasa hiv na ukubwa huu unikaripiee nikuangalie tu labda niwe nimekunywa viroba hivi hivii tu oooooo
Halaf Dai anajua uwepo wetu sana hata kiba pia, ushabiki sio mpaka ulipwee

Ndo maana nilisema MTU asivuke mipaka na kuattack member ?. Why akukaripie? Si akamkaripie dai ambaye anajadiliwa hapa.
 
Mjini watu wakikujua ni hatareeeeee si unaona hata ya mwaka 45 yatafufuliwa. Yanageuzwa fimbo ya kuchapiwa nayo. Alishasema kamwe hawezi kuweka wazi iwe mama yake, mtoto wake n.k.

Alafu familia yao inajiweza sana tu

Ni kweli aiseee aache tu
 
Ndo maana nilisema MTU asivuke mipaka na kuattack member ?. Why akukaripie? Si akamkaripie dai ambaye anajadiliwa hapa.

Nawe kwa ushaurii ,haya tuendelee na menginee,leo usinitoroke kwenye my ushuz sawaaaaaaqq
 
Nawe kwa ushaurii ,haya tuendelee na menginee,leo usinitoroke kwenye my ushuz sawaaaaaaqq

Aka sijashauri nimecomment. Hahahaha we mie Niko kijijini siwezi ona hyo shuz bwana. Ingekuwa clouds fm sawa. Ntaangalia recorded.
 
Aka sijashauri nimecomment. Hahahaha we mie Niko kijijini siwezi ona hyo shuz bwana. Ingekuwa clouds fm sawa. Ntaangalia recorded.

Nawee nipishe sasa upo kijiji kipi hicho hakina tv jaman si ungeenda na king'amuz halaf ukawaachiaaa,unaniudhi ujuee
 
Back
Top Bottom