Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

Maskini namuonea huruma wema najua inamuuma sana
 

huyo demu ndo kapiga picha na diamond, sio diamond kapiga picha na huyo demu
 
Eti Diamond amuonyesha mpenzi mpya...
Hahahaaaa kweli watu ni nyoko aisee!
 
Eti Diamond amuonyesha mpenzi mpya... Hahahaaaa kweli watu ni nyoko aisee!
Huyo Zari mwenyewe aliyatarajia haya... unapiga picha na Diamond halafu unaweka kwenye social network!!
 
Diamond hata kuzipost huko Insta hajazipost....
Waambie hao manake hawakawagi kuwasikia wakisema Diamond anatafuta kiki kupitia kwa mademu... huyo Zari mwenyewe kama angerekodi namba ya followers kabla na baada ya ku-post pichaya Diamond ndipo angefahamu Diamond hasa ni nani... tumtake ama tusimtake it's too late!!
 
Ila ndo jua halizibwi kwa ungo...ila me nimewaza behind the scene...hivi hawabebeshani ngada hawa? manake nasikia demu ndo issue zake hizo...
Sidhani... kwa mtu anayemfahamu au kumfuatilia Zari ni mtu wa kupenda sana kupiga picha na wasanii walio kwenye hit... Diamond sio wa kwanza; inawezekana Diamond akawa wa kwanza kwa hapa Tanzania! Kuhusu tuhuma za Zari kujihusisha na ngada, inawezekana kabisa manake mnh... kwa pesa aliyonayo na umri havifanani kabisa unless viwe vya urithi!
 

Ni mtazamoo tuu...Manake bidashost ana pesa ndefu hatari., halafu haringi kihivyo, hata nikisika kaachia mzigo kwa mtoto wa Tandale naweza kuamini......!
 
Ni mtazamoo tuu...Manake bidashost ana pesa ndefu hatari., halafu haringi kihivyo, hata nikisika kaachia mzigo kwa mtoto wa Tandale naweza kuamini......!
Suala la kuachia mzigo ni very possible... kwenye mapenzi hakuna kinachoshindikana! Huyo Zari mwenyewe anavyohusudu six packs...
 
Mapenzi ya siku hizi bhana yaani hata arobain hajafika kashapata mwingine
 
Suala la kuachia mzigo ni very possible... kwenye mapenzi hakuna kinachoshindikana! Huyo Zari mwenyewe anavyohusudu six packs...

Ndio maana babu Le Mutuz alianza kupiga mazoezi baada ya kupiga picha na huyu mrembo,kumbe babu alikuwa anatafuta six packs japo alishindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…