Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima


Kula likes 1000
 
Last edited by a moderator:
Mhh..hajaenda Singida kufuatilia ule msiba? labda anataka kuibuka na habari za kiuchunguzi...

Au ndo kafwariki binam yangu jamanii tabia gani kuondoka bila kuaga au ana ban!!!!!
 
Niongeze mbili nimuhonge nifah labda ataelewa ninamaanisha nini ninaposema naugua juu yake...

Ataeleweka tu mwanamke shurti aringe kdg but mwisho wa cku anaachia,hata kuku akitaka kupandwa lazima akimbizweeeeeee hata km nae ana genye. Ucjali ntakusidia kuuza maneno
 
Last edited by a moderator:
Jmn anaejua jina la huyu demu insta tafadhali tumfollow wengine ndo zetu pllllllz
 
Au ndo kafwariki binam yangu jamanii tabia gani kuondoka bila kuaga au ana ban!!!!!

Usimchulie bwana...ban hana, siku hizi binamu kawa mstaarabu kama memeeeeee....wajinga wajinga anawapotezeaa...
Atakujaa...
 
Last edited by a moderator:
Ataeleweka tu mwanamke shurti aringe kdg but mwisho wa cku anaachia,hata kuku akitaka kupandwa lazima akimbizweeeeeee hata km nae ana genye. Ucjali ntakusidia kuuza maneno

My dear usimsaidie huyo ni adui yetu mkubwa sana...hiyo ni mbinu yake tu anataka kutuvurugia umoja wetu ili apate kutushambulia kirahisi...
 
Ataeleweka tu mwanamke shurti aringe kdg but mwisho wa cku anaachia,hata kuku akitaka kupandwa lazima akimbizweeeeeee hata km nae ana genye. Ucjali ntakusidia kuuza maneno
Kumbe nitakuja kubeba mzigo enh, sema niwe mvumilivu, au sio? Sema tatizo Le Mutuz... huyu mtoto kaoza ile mbaya kwa Le Mutuz mwenyewe ukimuuliza, eti oh huyu mzee huwa ananichekeshaga... aaaargh, kuchekeshwa gani mtoto wa kike hadi unalainika kabisa laiiinii kama kondom iliyotumika! Au inawezekana ndo mapozi yenyewe... kama ndiyo, basi mwambie nm-dedicate hii hapa:
 
Last edited by a moderator:

Hahahaaaa. ....umetisha aisee, Le Mutuz!!! Kama vile namuona Nifah kapoz kwenye lichest la le mburulaz hahaha aaaa cpati picha
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…