Hapa nafanya mahesabu Zari atapata Followers wangapi Instagram tangu awe karibu na Chibu... unajua kila siku huwa napinga kwamba Mond huwa anatembelea nyota za mademu wakati mimi naamini kila anayejihusisha na Chibu ndie anakuwa habari ya mjini... research yangu kuhusu followers kwa Zari inaisha saa nane lakini hadi sasa... chini ya saa 20, tayari ameshakuwa followed na watu takribani 1800... within 24 hours am sure watafika followers 3000... Sidhani kama Zari alishawahi kupata traffic kubwa kiasi hicho ndani ya 24 hours!!!hapo sasa nimekuelewa maanake niliyoyaona huko IG yamenitetemesha
Sa' vipi tena...? Ukijisikia kizungu zungu niambie ili nikudake... sitaki udondoke coz' Dinazarde bado anahitaji back up yako!!
jamani mi ndio naamka, nahitaji muda wa kula huu ubuyu, chai haipiti, nikimeza mate yanakwama uuwiiii mond u are givin to much than what we want. khaaaah!!!
Nini kimekunyon'gonyesha huko Insta? Wehu washaanza matusi nini??!!Haaaa hayo mahabari yalininyongonyeza.. niliingia insta nikajikuta nimenywea ghafla..
Kuhusu followers kapata wakutosha kwakweli watu nikiwemo mimi imebidi nimfollow kabisaa
Nini kimekunyon'gonyesha huko Insta? Wehu washaanza matusi nini??!!
Hata ile walisemaga movie ngoja tuone mwisho wake.
Aiseeee........kweli hata uwe na pesa kiasi gani........bila ninilino........hujakamilika.........
Ninavyomuonaga Zari........mmmmmh.....
Nini kimekunyon'gonyesha huko Insta? Wehu washaanza matusi nini??!!
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai.
Ila nimesikia ni new video maybe iko hivyo
Hilo la matusi nilishatarajia na kuhusu new project... ah, haya bhana manake hadi leo tunasubiria new movie ya Diamond na Wema ambayo walienda ku-shoot China tangu mwaka jana lakini bado haijatoka!!!Watu washaanza kutukana watu viakaunti vipya vinatiririka.
Ila mwenyewe keshasema ni new project watu tukae tayari kwa hiyo kazi mpya
Sasa kama ni Team Wema si ndo hao hao walikuwa wanahubiri "Bring Back Our Wema...!" Sasa Wema kawa released wanaanza matusi tena? Au ndo yale mambo ya kisebu sebu na kiroho papo? Au ndo yale unampiga chini boyfriend wako lakini ukimkuta na mtoto mwingine viwango vya juu kuliko wewe unaanza kuumia!!!Teamwema wameshaanza matusi. .. huko insta. . Huyo anayemtukana zari hata bajaji hana. .
ni project ndio lakini ndani ya hiyo project kusuuza rungu hakuepukiki
Kibibi zari kina watoto wakubwa k ina uwalaza wanaume wote Africa ulaya nq america hakuna anaekitaka ndo umeangukia diamond??? Huyu ni mama yako. Maradhi ndo utaondoka nayo hakuna lingine. Kibibi kinaumwa hiki
ni project ndio lakini ndani ya hiyo project kusuuza rungu hakuepukiki
Yaani wewe jamaa ni mtu wa ajabu... picha uzitoe kwenye akaunti ya Zari halafu hapa useme Diamond ndie kazitoa hizo picha...View attachment 200350
View attachment 200352
View attachment 200351
Huku penny na madam wakipatana baada ya kujgundua wote ni wajinga kwa kukosana kisa diamond,yeye diamond ameendlea kuudhihirisha u-filauni wake kwa wanawake kwa kutoa picha zinazothbtisha uhusiano wake na boss lady asiye na akili "zari"..