huyo dada hana njaa ya vixen ana uwezo wa kuwalisha domo na wema na koo zao hadi uchaguzi wa 2020 hapo bosslady kanasa ulimboni
Hapa kuna jambo moja... inawezekana kwamba ni project au ndo vile tena manake hata project ya Wema na Diamond waliyofanya China ilikuwa hivi hivi... bado haijatoka na haitatoka! Lakini hata kama ni project, huyo Zari kaamua kuwakomoa wambeya... we project gani hata production crews haionekani??!!! Watu wanapenda kutiana bp aisee... dah!Thank you Diamond for this project
Africa get ready. Caption
Yaani wewe jamaa ni mtu wa ajabu... picha uzitoe kwenye akaunti ya Zari halafu hapa useme Diamond ndie kazitoa hizo picha...
Dangote piga huyooo akugandeeer lazima adate na kirungu chezeaaaaaaaaa,pesa ni zake k ni mali ya jamii
Hiyo ni kwa wale ambao utakuta wanaibuka from nowhere na kuanza kukushambulia bila sababu only because unaamini kinyume na vile anavyoamini yeye... ukisema tofauti na anachotaka yeye kusikia basi inageuka nongwa... kwahiyo no way out, ukinizungua nakuzingua....Just FYI: Ukinizingua, nakuzingua... ukinipa za tumbo nakupa za chembe, otherwise, Peace and Love!
Mwanaizaya anafaidi huyu...,
kashaliwa huyo.
Sana mpwa, hili fi.si maji linafaidi sana, roho imeniuma sana hasa picha ya mwisho binti alivyogonoka!
Usi-mind bhana labda kama mtu anaku-attack, hapo huwezi kulemba au kujifanyisha Mother Theresa... Mtu akikuzingua, unamzingua...!Kwakuwa Nina mapenzi na Wema point yoyote nitakayoweka kuhusu dai hata iwe ya maana vipi itaonekana si kitu. Ila dai angekuwa kaka au Mdogo wako alafu aparamie huu mlima wa madume ya miaka 16 lazima mngemuonea japo huruma. Ila wanadai ni shooting ya wimbo wa ananijia ndotoni.
Naona kuna watu wanajitahidi kuniquote ila sitowajibu kamwe...
Hapa kuna jambo moja... inawezekana kwamba ni project au ndo vile tena manake hata project ya Wema na Diamond waliyofanya China ilikuwa hivi hivi... bado haijatoka na haitatoka! Lakini hata kama ni project, huyo Zari kaamua kuwakomoa wambeya... we project gani hata production crews haionekani??!!! Watu wanapenda kutiana bp aisee... dah!
Labda ile event ambayo Zari anataka kuifanya december... may bProduction crew ya nini... hiyo nyingine yaonesha kama wako studio vile....
All in all ngoja tuendelee kungoja kuona hiyo ni project gani???
Sasa kama ni Team Wema si ndo hao hao walikuwa wanahubiri "Bring Back Our Wema...!" Sasa Wema kawa released wanaanza matusi tena? Au ndo yale mambo ya kisebu sebu na kiroho papo? Au ndo yale unampiga chini boyfriend wako lakini ukimkuta na mtoto mwingine viwango vya juu kuliko wewe unaanza kuumia!!!
Afu huyu Zari kaamua makusudi kuwarusha watu roho... inaelekea kamwambia Chibu "we hiyo kazi niachie mimi" manake sidhani kama Chibu ame-post picha yoyote lakini ni Zari ndie anaye-post! Na kwa jinsi watu walivyo wehu, inawezekana walianza kutukana tangu jana lakini ndo kwanza akaamua kuweka photos zilizo kwenye mkao wa mahaba...
Huyu mwanaume anaweza akakutoa roho,Wema usirudi tenaHataree hatare in Wema in Wemas voice