Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

Hii inanikumbusha couple ya nick cannon na Mariah Carey always huwa inastua pale powerful woman anapoingia jwny mahusiano na mtu WA chini ya level yake but trust me this is official hawa tayar Ni wapenz,huwez jua inawezekana zari kachoshwa na vibopa wanamhonga Sana lkn kazi hawawez(mgegedo)
 
mhhh dogo hawez wamaliza japo anafaidi ila mwili na akili anavichosha bt kama ni shoting kaz njema
 
Binafsi kuhusu Wema nipo kati kwa kati... sina sababu ya kumpenda wala kumchukia... Bongo Movie siangaliagi kwahiyo hata ukiniuliza picha moja aliyocheza Wema siijui though I like their couple! What I don't like ni pale mashabiki wa pande zote mbili wanavyotaka kuingia kati kati ya penzi la Wema na Diamond... to be honest, I hate this otherwise, I like their chemistry... it's some kind of brand... like ya Posh na Beckham (tasnia tofauti)! Unfortunately, wakati Beckham na Posh wameitumia vizuri branding yao, huku kwetu ni Chibu peke yake ndie ameweza kuitumia huku Wema akijitia utalaamu wa mahaba...
 
Last edited by a moderator:

Hahahaaaah eti nazimika na swaga za old school....lol
 
Last edited by a moderator:
Mimi leo nafurahi tu...nikasirike kwani mimi team wema?thou bado sijaamini hizi tetesi...
Sijui na mimi nijiaminishe kwamba hii nayo ni dalili ya nyota njema kwangu... najua roho mbaya wala haikupendezi kwahiyo kamwe huwezi kufurahia kufurahi peke yako lazima utapenda tu kufurahi na wale ambao wamo ndani ya dimbwi zito la simanzi... mungu akuzidishie kwa huo moyo wa upendo, nami najiandaa kufurahi.. tena ngoja nipige pamba mpya kabisa.
 
Kijiwe kinahamia kwa mange....hahaha zari atachambuliwa atajutraaaaaaa kuwahamu wabongo. Popcorn zitahusika Sana Leo.
 
Yupo vizuri kwenye kick.

Ngoja tusubirie wimbo sasa.

Sent from my radio
 
Aiseeee........kweli hata uwe na pesa kiasi gani........bila ninilino........hujakamilika.........
Ninavyomuonaga Zari........mmmmmh.....

Nasikia Dai anamtwangio mtam balaa! Usishangae mwaya hahaaa
 
Jaman hiyo ni shutting ya wimbo wao mpya jaman

Hivi mavideo queen wameisha hadi kushoot na mmama? Hahahaha hivi ulisoma caption za bidada kwenye hizo picha za Jana?? Inaweza kuwa video ila kuna kitu nyuma ya pazia. Hata kwa kidoti walianzia kwenye shooting ikahamia kwenye udambwiudambwi. Mtu na mama yake safi Sana.
 
Huyo mtoto kishaliwa diamond awez akafanya shooting na mavaz hayo aliyovaa, lazma ajitupie pamba za hatari inaonyesha walikuwa wanakula bata sehemu!
 
Huyo mtoto kishaliwa diamond awez akafanya shooting na mavaz hayo aliyovaa, lazma ajitupie pamba za hatari inaonyesha walikuwa wanakula bata sehemu!

Umeongea ukweli...wamama wa siku hizi ovyooo kwelikweli kijana wako yuko IG still unaposti umalaya wako live? Dahh labda mie ndo nimepitwa na wakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…