Km si video Huu mfupa uliwashinda hadi psquare ngoja nae ahangaike nao
Nasikia Dai anamtwangio mtam balaa! Usishangae mwaya hahaaa
Huyo Dinazarde leo akiamka lazima mtafute mbeleko ya kumbebea... mtamkomaje... huku Dinazarde, kule Kim nana ... pale Paula kilaki ... kule Heaven on Earth akichombeza... dah, nahisi kama pressure ya princess nifah leo ita-shoot kwa kiwango cha kuogfya!!
Kwakuwa Nina mapenzi na Wema point yoyote nitakayoweka kuhusu dai hata iwe ya maana vipi itaonekana si kitu. Ila dai angekuwa kaka au Mdogo wako alafu aparamie huu mlima wa madume ya miaka 16 lazima mngemuonea japo huruma. Ila wanadai ni shooting ya wimbo wa ananijia ndotoni.
Naona kuna watu wanajitahidi kuniquote ila sitowajibu kamwe...
kweli aisee huyu alishalala na Peter okeye,mwe Diamond hapo kapotea kwa huyo bibi,ataacha atahongwa na zari hadi asahau alikotoka,akija kuamka ni late.Diamond aibu kulala na huyo mbibi jamani mabinti wameisha?kwanza huyo zari ukimuona live sio mzuri,sema anaedit picha anaonekana mzurii kumbe wa kawaida sana
kweli aisee huyu alishalala na Peter okeye,mwe Diamond hapo kapotea kwa huyo bibi,ataacha atahongwa na zari hadi asahau alikotoka,akija kuamka ni late.Diamond aibu kulala na huyo mbibi jamani mabinti wameisha?kwanza huyo zari ukimuona live sio mzuri,sema anaedit picha anaonekana mzurii kumbe wa kawaida sana
Weraaaaaa weraaaaaaaaaaa pamoja na kufanya kazii zari keshaliwaaaa mamaaaa
nawaonea huruma teamwema! pesa zao za budle mpaka wauze mawigi ... zari anapesa chafu! kama dangote amekamata hili zigo asiachie aisee
hahahahahahahha,eti kama WasiraMbona Povu Au ulikuwa unataka dimondii akulale ww
Muacheni afanye yake...we bwana wako tunamjua
Usije kuwa bwana wako km mzee Wasira
Hapa nakubaliana na wanaume wanavyosema akili za wanawake ni ndogo
Yaaan mi nilizipata nyepesi toka siku zile wanakujaa walikua mahaba mahabaniii kwa kweli asiachieeee
Hivi unampenda daimond kabisa unamshauri atembee na mtu umri Kama mama yake?? Wadada wazuri mbona wengi Sana dina.
Nimekumiss shoga angu kidogo nikufate kwakooo,,kuna watu walikua wanabisha eti Dai hana ubavuu wala kumla huyo zarii
Na zari ashazimikaaaa mwenyeweeeee hajavutwaaa
Unamhurumia wema wakati nae ana mapedejeee kwanza anamkondesha Daii mfyuuu
Duh... kusema umri wa mama ake hapo umetia chumvi...Zari ni 30 something... about 32 or 33 lakini havuki 35.Hivi unampenda daimond kabisa unamshauri atembee na mtu umri Kama mama yake?? Wadada wazuri mbona wengi Sana dina.
Mnh... kazi ipo!Weraaaaaaa weraaaaaqq nimepata wifiiiiii waliosema zari haliki eti pesa ooooooooo hhh mlambe ndimu hhhheeeeeeeeee Daimond Aminiaaaaaaaaaaaaaa
Me namhurumia dai wala si wema. Hivi wanawake wooote warembo ndio kuangukia kizeee? Kiufupi hakuna mwanaume mwenye maisha yake africa anaemtaka. Dai wakula makombo? Au umaarufu unampa ulimbukeni? Mbona mlikuwa mnamsema mziwanda
Awe makini UKIMWI upo pia. Hatutaki akifika kwenye peak ya muziki wake kimataifa ndio afya ianze kusumbua.