Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

Attachments

  • 1415621959504.jpg
    1415621959504.jpg
    71 KB · Views: 357
Last edited by a moderator:
Haka kanajitahidi bana! Wema huwa ni midomo tu, vingereza uchwara na mikorogo...

Ngoja nibadili vioo kwa nyumba yangu maana najua nitalala wazi after this...
cacico njoo huku basi...
 
Last edited by a moderator:
Hivi huyu bibie naye anapendaga vigodoro maana Almasi kwa wanawake wapenda vigodoro na mpaka akawaimbia kigodoro cha mdogomdogo.
 
zari hana miaka 38 msikuze jamaniii, ,,,na hana ubibi wowoteee kwanza ukimpanga na bongo movie nzima hayupo anaemfikiaa zari kwa uzuri na urembo

zari mkubwa na watoto ni wakubwa binamu
ila anajitunza sana yule bongo movi almost wote wadogo zake
 
zari mkubwa na watoto ni wakubwa binamu
ila anajitunza sana yule bongo movi almost wote wadogo zake

Umeona eeeh kajitunza na anaonekana young & sex kuliko hata huyo wema...tatizo liko wapi jamani?
 
Mwanaume anayeweza kubeba wamama over age ni Marioo tu na Diamond siyo Marioo ana pesa zake ni kwa nini hata visivyosahihi mnalazimisha vionekane viko sawa?

Kama ni mademu bomba hapa mjini wapo wakutosha tena rika lake, anyway wacha niishie hapo maana sina ndimu wala limao hapa.

Ngoja nimsake Le Mutuz kwanza saa 8 imeshapita.

Diamond mambo yake ni international tu kuanzia kolabo mpaka mademu.hao wazuri lakini wa hapahapa bongo anamwachia ally kiba.na ninahisi akiachana na zari atafuata star wa Nigeria then ataoa wa hollywood
 
dah mkuu umejionea plate no. zake kila gari zina gna lake hana njaa ya pesa huyu diva hata we anakuonga

Halafu demu mkalii..rangi imetuliiia...ht mimi ningekua diamond ningejilia vyangu...YOLO
 
Hata suku 1 diamond hawezi mpiga huyu demu. Huyu demu ana hela chafu ata diamond hafikii hapo, ana ma boutique south africa huko ni balaa na maduka ya cosmetics dinga ndio usi seme we una dhani ana chapika kirahisi huyu. Zaidi labda aliona diamond ni msanii na ni maarufu na wote wako ndege moja sio mbaya waki piga selfies. Basi ndio mchezo ukaishia hapo... Afu kitu kingine, msije mka jidanganya eti diamond ata kuja kumuoa wema hio haipo, pale ana piga tu basi na yule demu ana jua hamna ndoa hapa ni funyox tu.

Kwanini asimpige...hana minyege.?? ??, hao wanawake wakitajiri wengine mbona wamaviserengeti boy...mapenzi kitu kinginee....
 
Zari hana miaka 38 msikuze jamaniii, ,,,na hana ubibi wowoteee kwanza ukimpanga na bongo movie nzima hayupo anaemfikiaa zari kwa uzuri na urembo

Huyo wema na zari ....wema kizee ...libayaaaaa
Komwe...nundu mgongoni..mahips manne
 
Back
Top Bottom