Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

Kama biashara yake ni boutique tu nakataa hizi plate number hata mimi naweza chongesha zikaandikwa Matola.
For what I know huyu demu pesa anayo na wala sio ya kusingizia... hizo boutiques ni sehemu tu ya michongo yake... kama sikosei (don't quote me) nadhani anamiliki au ana share za kutosha tu kwenye vyuo vinavyoenda kwa jina la Brooklyn City Colleges pande za South Africa. Lakini hata hivyo, sidhani kama biashara zake zote ni clean businesses! Mond kwa Zari ni kama mbingu na ardhi sema ndo vile tena, ilipo papuchi lazima itafute dushelele na wala haina fixed conditions kwa kuzimechisha!! Vigezo na masharti mara nyingi hubadilika kutegemeana na mazingira!!!
 
NasDaz hapo chibu lazima apigeeeeeeee hakunaga chezeyaaaaaa tutasikia soon mimi mtabiri ndo nishasemaaaa
 
Last edited by a moderator:
Toka daimond Alivojipumzisha kwa Kidoti kuaanzia hapo nikasema kumbe wanawake wote ni grade moja tuu so hakuna kinachoshindikana mkuu

Waambie haooo Dai anakula vitoto vya maana Dar wengine wameishia kuwaona kwa picha tuu na roho zitawauma mnooo wenginee sukari ya warembo ni shidaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
mi ndio maana siwezi gombana na wanawake mna maneno ya kuudhi sana

Bora kabisa na huo ndio uanamme sio kubishana na kupakana na wanawake hovyo
Ila umenichekeshapoo
 
Waambie haooo Dai anakula vitoto vya maana Dar wengine wameishia kuwaona kwa picha tuu na roho zitawauma mnooo wenginee sukari ya warembo ni shidaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Mwanamke mdomooo huooo...hebu punguza kidogo ..asubuhi yotee hii, watu watashindwa kunywa chai....manake akitajwa Diamond wengine mishipa ya nanihiii inawatetemekaa...

Na utache tule kwanzaaa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…