Inabidi uwe mlevi mbwa ndio uweze kuamini kwamba mtu anaweza kusoma private school mwaka mzima bila kulipa ada! Halafu hawa jamaa kila siku the same similar story:Sasa unaitoaje habari na kutaja majina ya watu wakati huja-balance story?!
Duh, sufuria limepinda kama nini?! Hahahahaaaaa... Ndio maana naogopa kugombana na wewe.
Ova
Mswahili siku zote ni mswahili ata aende, sufuria limepinda kama tako la masogange mxiuuu billionaire my foot
Billionaire angezalilisha utu wake kwa ajili ya Land cruiser V8 za kina chief?
Ohooooo unaharibu sasa mpenzi.Husikii tunaambiwa tunajishaua wakati hakuna lolote?
Ukisema hivyo ndio utazidi kuunguza roho za wanafki...
Anyways, acha waungue tu kwani kitu gani bwana?
Hatuwezi kushindwa kujielezea jinsi tutakavyo kisa mafukara fulani.