Diamond atelekeza watoto wa shule

Duh, Mondi arekebishe hilo haraka
 
dimond hana hela ni sifa za kwenye media tu na hizo sifa zitamwaibisha sana tu wenye hela labda hao mameneja watatu hao ndio wanachukua hela za dadamond hao mameneja ni wanyonyaji balaa unaweza kuta ney wa mitego au rich mavoko wanamzidi hela dadamond
 
Kilichomfanya bilionea atoe ahadi ni njni?
Ahadi ni deni.....


 
Ingia katika website ya KTMA,kila nikiquote inashindikana sijui kwa nini Bintiwamoyo
 
Last edited by a moderator:
Vichwa vichafu na watu wanaoishi kwenye ushenzi siku zote hawawezi Fanya jambo la maana!!!

Hata hao wazazi ni wapumbavu kwanza kuruhusu watoto wakashiriki kwenye mashindano ya kishenzi Kama yale na sasa imewagharimu....

Matanzania mengi ni mashenzi Sana yasiyoweza kuwaza zaidi ya nyayo za miguu yao.....

Tupate mtu dikteta tu atuongoze kwa risasi ndo vichwa vyetu vitatiririsha usaha uliopo kichwani....

MTU mpuuzi na mshenzi anaeishi kwa kutafuta Sifa atakufanyia nn cha maana??

CC: Carton barlet matumbo Matola warumi....
 
Last edited by a moderator:
Inabidi uwe mlevi mbwa ndio uweze kuamini kwamba mtu anaweza kusoma private school mwaka mzima bila kulipa ada! Halafu hawa jamaa kila siku the same similar story:Sasa unaitoaje habari na kutaja majina ya watu wakati huja-balance story?!


Diamond hana bahati ya kuzaa, hivyo hawasomeshe tu hao waotot hawezi kujua uko mbele watamsaidiaje, maadam alitoa ahadi basi awasomeshe tu kama watoto wake maana yeye hana uwezo wa kuzaa
 
Wamuachee jaman, yaaan kila cku wanatafuta kick kutoka kwa Diamond,tatizo nyotaaaaaaa!

Sasa anayetafuta kick nani? Huyo mzazi au hao watoto? Au walimu? Msipende kulitumia neno KICK ata sehemu isiyostahil bwana, cha msingi awasomeshe si aliahid? Ndo tatizo ,yeye haoni umuhimu kwa kuwa hajasoma ndio maana,
 

Hahahahahahaaa watu kama nyie mnanifurahisha sana.
 
Last edited by a moderator:
Sasa anayetafuta kick nani? Huyo mzazi au hao watoto? Au walimu? Msipende kulitumia neno KICK ata sehemu isiyostahil bwana, cha msingi awasomeshe si aliahid? Ndo tatizo ,yeye haoni umuhimu kwa kuwa hajasoma ndio maana,

Binamu katika ubora wako.
Domo anapenda sifa sana hadi katika vitu visivyotaka masihara kama elimu.
 
ALipe kwa kweli, haoni umuhimu kwa kuwa hajasoma, kilichomfanya awaotea shule za kawaida kitu gan kama uwezo hana? Mxiuuu


Mpuuzi kweli sasa aliwaahidi na kuwatoa shule kwann? Yaani shida yake ilikua tu auze story kuwa anasomesha watoto baas!!!

Binamu bora uzaliwe na ufe maskini ukiwa na adabu zako kuliko uzaliwe kwenye dimbwi la ushenzi na ufe na ushenzi Kama hao vipapa!!
 
Anataka kuwaharibia watoto wa watu maisha...

Ingawa na mzazI aliyekubali naw kichwa chake sio kizima....

Sijui wakiona kiki ushuzi za hawa watu maarufu wa bongo wanachanganyikiwaga


ALipe kwa kweli, haoni umuhimu kwa kuwa hajasoma, kilichomfanya awaotea shule za kawaida kitu gan kama uwezo hana? Mxiuuu




Binamu katika ubora wako.
Domo anapenda sifa sana hadi katika vitu visivyotaka masihara kama elimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…