Diamond atikisa Bundesliga

Diamond atikisa Bundesliga

maatope

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2013
Posts
1,422
Reaction score
957
Ukitaka amini usipotaka acha. Dangote platinum majuzi alisababisha wachezaji wanne wa VFB STUTGART inayoshiriki ligi kuu ya ujerumani kukatwa mshahara wa wiki 2 pale walipotoroka hotelini na kwenda kuhudhuria show kali ya mkali huyo anayetikisa duniani kwa sasa.

Rais wa team hiyo, Bernd Wahler alisikitishwa na kitendo hicho lakini ameahidi kumualika kijana huyo ambaye ana mdate wema sepetu(22) kwenda kutumbuiza wakati wa half time siku stuttgart itakapocheza na bayern munich kwa kitita cha euro 100,000.

Stay tuned.
 
Tupatie source ya habari yako vinginevyo habari hii itafanana na jina unalotumia.
 
Ukitaka amini usipotaka acha..Dangote platinum majuzi alisababisha wachezaji wanne wa VFB STUTGART inayoshiriki ligi kuu ya ujerumani kukatwa mshahara wa wiki 2 pale walipotoroka hotelini na kwenda kuhudhuria show kali ya mkali huyo anayetikisa duniani kwa sasa
Rais wa team hiyo, Bernd Wahler alisikitishwa na kitendo hicho lakini ameahidi kumualika kijana huyo ambaye ana mdate wema sepetu(22) kwenda kutumbuiza wakati wa half time siku stuttgart itakapocheza na bayern munich kwa kitita cha euro 100,000
Stay tuned....


Wadanganye watoto wa Tandale..
 
Yaan maatope hua una makusudii wewee
 
Last edited by a moderator:
Yeye siku zote wema wake ana 22 ,sawasawa na kidume cha mbegu yeye na Odama tu.

Ila watu wa hivi wakipoteaa mi jukwaa huliona bayaa,halaf Gogle simuoni aisee sijuii atakua anaandaa episode ya ngapi
 
Last edited by a moderator:
Ila watu wa hivi wakipoteaa mi jukwaa huliona bayaa,halaf Gogle simuoni aisee sijuii atakua anaandaa episode ya ngapi

Gogle ni kiboko, yeye kokote anatia timu haangalii jukwaa lipi linafaa.Kuna mwingine anaitwa Sayansi kimu naye sijui yupo wapi.
 
Last edited by a moderator:
Gogle ni kiboko, yeye kokote anatia timu haangalii jukwaa lipi linafaa.Kuna mwingine anaitwa Sayansi kimu naye sijui yupo wapi.

Yupoo ye akija lazima aniiteee, na yule albosigna sijui nanii nae simuoniii
 
Ukitaka amini usipotaka acha. Dangote platinum majuzi alisababisha wachezaji wanne wa VFB STUTGART inayoshiriki ligi kuu ya ujerumani kukatwa mshahara wa wiki 2 pale walipotoroka hotelini na kwenda kuhudhuria show kali ya mkali huyo anayetikisa duniani kwa sasa.

Rais wa team hiyo, Bernd Wahler alisikitishwa na kitendo hicho lakini ameahidi kumualika kijana huyo ambaye ana mdate wema sepetu(22) kwenda kutumbuiza wakati wa half time siku stuttgart itakapocheza na bayern munich kwa kitita cha euro 100,000.

Stay tuned.
hivi wewe ni maatope au matope?
 
Back
Top Bottom