Walikuwepo akina michale Jackson lro wako wapi? Domo asivimbe sana kochwa akasahau kuna mungu a kuna kufaHivi Diamond wa Number One Remix na Diamond wa kabla ya Number I Remix; ni Diamond yupi hasa alitakiwa kumuogopa Ommy Dimpoz?! Kwanini hakumuhofia Dimpoz wa Me & You ambae ile ngoma hadi kesho sidhani kama Dimpoz mwenyewe ameweza kuifunika?!
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Ina maana hukumsikia jana akisema "unasema unampumulia mtu, afu unamkuta na taulo anatoka chumbani kwa mama yako, utamwita uncle au dady?" Kwa masikio yangu mawili nilosikia alivyokuwa anahojiwa na clouds jamaa wakauliza whaaat.
mkitaka kujua mengiDada yangu hebu weka akiba ya maneno kidogo basi, anakwambia kwa Davido yeye alkuwa anatoa dola 3000 mkubwa katoa elfu tano hapo definitely huyu bwana thamani imepanda, sasa unajua vipi kama ile ndo ilkuwa senti yake ya mwisho?? Na it seems kama mwana he knew this... Hapa lazma hata km ni ww ujisikie vibaya, hii can be the same applied kwa Iyanya. Na kuhusu suala la kuwasaini akina Rich n co. sio bure hyo ni biashara na kuna mtonyo anapiga pale so sio km uthibitisho wa roho safi na kujitolea fursa ile. Anyways hatuyajui mengi nyuma ya pazia ila naomba tu next time usitumie hoja nyepesi kutoa hitimisho ktk masuala mazito na nyeti
MixtureNdo nn kamas au machozi
Hata huyo Diamond ni wa kigoma....!!!diamond hana wivu
hawa watu walitaka kutembelea nyota yake..
yani yeye awe anawatafunia wana meza
sasa kawakacha
ndio maana kutwa nzima wanashinda maredioni kulia lia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wanaume wa kigoma sijui vipi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unazingua binamu,nilishakutumia ukanichunia sina hamu wewe.Binamu nitumie no yako ya whatsapp inbix
Tobaaaaaa [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Ina maana hukumsikia jana akisema "unasema unampumulia mtu, afu unamkuta na taulo anatoka chumbani kwa mama yako, utamwita uncle au dady?" Kwa masikio yangu mawili nilosikia alivyokuwa anahojiwa na clouds jamaa wakauliza whaaat.
Tena hilo alisema, kwamba unajua mama zetu wanapenda mambo ya vijana, wako hadi instagramTobaaaaaa [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Ila haishangazi kwa mama Chibu,ndio zake na vijana.
unaliona wwHV huyo rich unamuona ndo rich wa follow me?? Marry me?? Pacha Wang?? Hapana aisee anguko la mavoko naliona soon
Unajuaje kma sio mnafiki..?? Kwann mtu akisema neno hata kma hatuna uhakika ni kweli au si kweli tunasema "anatafuta kiki"..?? Utaficha wapi uso wako siku Diamond akija akakubali yote aliyosema Ommy kwmb ni kweli..!! Si utajiona wewe mjinga na ndo unatafuta kiki kwake kwa kumtetea...!!!Safi sana Diamond Platnumz,walikusakama sana toka kitambo ila kama binadamu uvumilivu unafika mwisho unatakiwa pia kureact,wapo wengi watakao ona unajiona,unamaringo unajidai huku wakishindwa kutambua kuwa ni mtu ambae unatikanwa sana,kila tusi lakini ulikaa kimya saiv umewatolea uvivu na naamini hawatoweza tena kupata kiki kupitia wewe na wakiendelea kuchonga endelea kuwapa what they deserve.binafsi napenda unavyowajibu maana wewe siyo mnafiki.
Uwiiiiiiii basi inatosha mkuu.Tena hilo alisema, kwamba unajua mama zetu wanapenda mambo ya vijana, wako hadi instagram
njoo Pm nikupe picha yangu kaka.Hii comment imekuexpose wewe ni mwanaume lakini unajiita jina la kike...
"Sio kufatana fatana kama wanawake" hakuna mwanamke anayeweza tamka hicho ulichoandika..
Angalia usije ukawa shoga kujiita majina ya kike kwenye mitandao
Anajihukumu mwenyewe,awazavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo...Hayo maneno si mazur kabisa kuongelewa na mtu kama yeye,na hakuna sehem yoyote aliyotajwa na Ommy kuwa ana roho mbaya namshaur Ommy anyamaze kimya hili suala litapita tuu
ndio maana nikawajumuishaHata huyo Diamond ni wa kigoma....!!!
Daah, Ommy kama anayosema ni kweli kwa mujibu a XXL basi domo ana wivu wa kishamba
Nakutumia inbox now, aaahUnazingua binamu,nilishakutumia ukanichunia sina hamu wewe.
Sasa ni zamu yako,nitumie nikutafute
Hahahaaaaaa