Diamond atoa jibu la utata kufuatia interview ya Ommy Dimpoz

njoo Pm nikupe picha yangu kaka.

mimi ni mwanammke rijali kabisa usiwe na hofu[emoji23][emoji23][emoji23]
kwani kusema kufatana fatana kama wanawake ni wanaume tu ndo wanasemaga?
hata wanawake tunaonaga tabia zetu kufatana fatana hakuna ishu
Muonyeshe na papuchi kabisa hyo next time harudii, aaah
 
Watu hawamtetei dimpoz, wanatetea SITUATION na wanaponda maneno ya Diamond mtandaoni. Hata ungekuwa ni wewe, wangekutetea tu mkuu
 
Walikuwepo akina michale Jackson lro wako wapi? Domo asivimbe sana kochwa akasahau kuna mungu a kuna kufa
Hahaha...! Mpwa hiyo kauli unatakiwa kuwaambia haters ambao ni kawaida kuwasikia "anguko lake linakaribia....!" Mara oh, "hatadumu milele....!" Of course; hakuna anayedumu milele kwenye game... wengi walikuja wakapotea; hali kadhalika Diamond nae atapotea tu... halizuiliki hilo! Na kinachomfanya hadi sasa awe juu ni kwavile tu anaenda by blocks... huwaga hakimbilii hatua ya 3 kabla hajapiga ya pili! Kwa it's a matter of time... hilo halina mjadala mpwa!!!
 
Aaaaah, sawa
 
Diamond anakosea kwa level yake hakutakiwa kua na majibizano ya kijinga akae kimya kulinda heshima na hadhi yake
Hii itamfanya apate respect kubwa sana kuliko anavyojibu mambo ya kiswahili na kushiriki mabifu ya kijinga
ndicho alichokosea!
kuwajibu hawa vijana
ila tatizo alipatwa na jaza
hasira ni kitu cha kawaida
 
Love becloud reasoning. Ungekuwa huna team km mimi nadhani hili lilikuwa jepesi sana, tatizo mnachanganya mahaba katika kuanalyze mambo. Kwa namna alivyoongea bwana Tupogo na alivyoongea Mr. Madale ndo inaleta picha husika. Inawezekana ana mema mengi ila kwa hili acheni tu kinachoonekana kisemwe. Anyways I'm out!!
 
Namie nashangaa kwani davido na iyanya wameacha kuimba? Si afanye hilo collabo

Mama Mchungaji nilikuwa nasubiri kuona kama na wewe intavyuu ya Ommy Dimpoz (Super Handsome) imekubadili msimamo.

Ila jamaa anajua kujitetea!
 
Hv tuna uhakika gani kma Dimpoz ni shoga?
Tuna uhakika gan kma Diamond sio shoga?
Tuna uhakika gani kama wote ni mashoga?
Ila tuna-assume na tunaexpect kwmb wote sio mashoga...!!!
We better not point fingers on others kma hatuna uhakika...!!!
 
Hv tuna uhakika gani kma Dimpoz ni shoga?
Tuna uhakika gan kma Diamond sio shoga?
Tuna uhakika gani kama wote ni mashoga?
Ila tuna-assume na tunaexpect kwmb wote sio mashoga...!!!
We better not point fingers on others kma hatuna uhakika...!!!
mwanaume kamili huwezi kumwita mwanaume mwenzio D
interview nzima D,D,D
lazima kuna walakini
 
Zamaani kulikua kuna mtu anajiita Tanzanite,yeye alikua akisubiri Diamond atoe wimbo adai ni wa kwake kaibiwa halafu anaotoa kama ule.Yuko wapi siku hizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…