Diamond atoa jibu la utata kufuatia interview ya Ommy Dimpoz

Sina team yoyote ila kwa hizi siku 2 diamond umejishushia hadhi sana.... Halafu si kila afanikiwae huwa ni bless za jah..... Na si kila ambae hajafanikiwa hana bless za jah na haistahili kumbeza.... Mtoaji ni mungu alie hai
Kuna ukweli .......mafanikio ni tofauti na baraka, vijana/ watu wengi wana mafanikio ila mafanikio yao hayajabarikiwa, why?! Mungu ndio mtoa baraka na mafanikio yasokua na masharti. Ila shetani anaweza kukupa mafanikio (kwa masharti) ila uwezo wa kukubariki hana.
Kwa maana hiyo basi, DIRECTION is important than SPEED. Mtu asijivunie kuwa na speed kubwa ilihali yupo kwenye uelekeo ambao sio sahihi. Bora uwe na speed kama ya konokono ila uwe katika direction sahihi.
NB sina team na sitarajii kuwa na team za kibongo fleva.
 
 
Wabongo wana roho mbaya ukifanikiwa zaid yao ni majungu matupu,ni ngumu kumuamin Ommy hasa unapo waona kina Rayvan,Rich na Homo.
 
Binamu ushabiki wako kwa domo too much punguza bana, domo ni nani? Kama akikosea lazima mkubali, kukosea kwake hakubadilushi kitu bali kujishusha tu mama msanii mkubwa
 
Domo laana ya kulala na mama are nzazi inamtafuna na bado mwaka huu
Hii issue nashangaa watu wanaiona mpya wakati mimi nilishaunyaka ubuyu tokea mwaka 2014.
Inatisha,ndio maana hadi leo nashindwa kuliongelea hili.
 
Ommy nyembo kweli ni madha faaka, yani kampitia hadi mama yake domo na uzee ule
 
Nani kamdanganganya Diamond kuwa mafanikio ndiyo kipimo cha uzuri wa roho ya mtu??

Huyu mtu amepanic jamani msaidieni asijekufanya vitu vya aibu zaidi.
 
Diamond povu hilooo kama amekunywa juice ya foma gold.
 
Diamond pia ni mwanadamu, hawezi kukubali flani awe juu y[U[/URL]ake, hivyo majungu, fit in a bad choko choko lazima awe nazo kama wengine, but anakosea kujigamba hadharani eti mungu kambarik yeye kuliko mwingine, naon kanfanya mungu baby take, hajui mungu so binafamu, lbda kama Ana mugu bahari anayemwabudu
 
Hata majambazi na wauaji wana mafanikio....hapo Diamond anajidanganya muda ukifika atadondoka tu
 
Interview ya Ommy imewaacha uchi hadi Rayvann analalamika kuwa hapendezwi na ujinga unaofanywa na Domo anawatia aibu.
 
Hayo maneno si mazur kabisa kuongelewa na mtu kama yeye,na hakuna sehem yoyote aliyotajwa na Ommy kuwa ana roho mbaya namshaur Ommy anyamaze kimya hili suala litapita tuu

Kwa yeye diamond wapi kamtaja dimpozi nyie mijitu kwa kuunga story
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee Ommy amewakata vilimi poleni sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…