Diamond atoa maji kwenye swimming pools zake zote

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656

Diamond platnumz ametoa maji ( drain) swimming pools zake zote wanapoishi wanae. Mind kadai sababu kubwa ya kufanya hivyo Ni kuongeza usalama kwa wanae.

Amewaandikia barua watumishi wake wote wanaohudumia nyumba hizo.
 
Nadhani na mtoto wa D Banj nae alifariki hivyohivyo kama 2 yrs ago kwenye swimming pool nyumbani kwake. Juzi Mbezi beach kunadogo wa miaka around 10 hivi alifariki home kwao kwenye swimming pool baada ya ku-dive na kuangukia kichwa sakafuni pembeni ya swimming pool
 
Hivi huwezi kuweka level ya magoti mtoto hayo maji
 
Mie nilijua Diamond kaamua kuweka safety nets kwenye swimming pools zake na ameamua kuajiri swimming instructor's ili awafundishe watoto wake how to swim!,ila sishangai sana uzuzu umewaharibu sana middle class, RC wa mkoa fulani analaumu mifugo mingi kwa ukosefu wa maji,Botswana 🇧🇼 ina mifugo mingi kuliko idadi ya watu but maji sio tatizo, middle class wa kitanzania shida sana, ndio maana kitu kikiwa chini ya kitanda wanaamua kuvunja kitanda ili akipate!
 
Hivi huwezi kuweka level ya magoti mtoto hayo maji

Watoto wanaweza kupoteza maisha hata kwenye bathtub mzee, we unasema maji ya ugoko!
Kama nyumbani kwako una swimming Pool au unaishi karibu na maji, solution ni kuwapa watoto darasa la kuogelea kuanzia umri wa miaka minne. Hata hivyo wanasema, children who swim can be drawn too, lakini inasaidia kwa asilimia kubwa sana pale wanapoteleza kwa bahati mbaya
 
Hata kuna mbunge mmoja siku za karibuni alipoteza mtoto wake baada ya kuzama kwenye swimming pool hayo mambo wanaweza wazungu sisi waafrika akili zetu tunazijua wenyewe.
 
Sie tuliokulia karibu na mabwawa na ziwani ukiwa na 4 years tu ushaanza kuyakata maji
 
Kuna tofauti kubwa kati ya kingo za bwawa la kuogelea na ziwa. Tofauti hizo ndio zinasababisha mabwawa ya kuogelea kuwa hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…