Mnachihangu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2022
- 890
- 1,022
Mwenye jeuri kule ni nani?Hii ni changamsha genge. Sadala hakai na mtoto wake hata mmoja na kule south hana jeuri ya maamuzi yoyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye jeuri kule ni nani?Hii ni changamsha genge. Sadala hakai na mtoto wake hata mmoja na kule south hana jeuri ya maamuzi yoyote
bado ni mengi sana, maji ya beseni tu yale yalichukua maisha ya dogo, KinondoniHivi huwezi kuweka level ya magoti mtoto hayo maji
Sual sio KUWEKA hivyo suala consistency ya kuhakikisha inakaa hivyo maisha yote
😀😀😀😀😀View attachment 2407832
chawa inabidi wamsanue boss kwamba kuna nyavu za swiming pool,aache ushamba.
Enzi zetu tulikuwa tunaenda kuogelea tanganyika swimming club...Kutoa maji haitoshi ingawa ni precaution muhimu.
Ukiwa na swimming pool au watoto wenye hobby wapeleke wakapate training za swimming pale Dolphin au Blue Fin swimming Club. Mtoto mdogo anafundishwa kuogelea,uokoaji na tahadhari zote. Pia watumishi wako wapeleke wapate training za kuogelea na kuokoa. Na swiming pool kama hatumiki ifunikwe na nyavu au turubai.
Bado ipo, siku hizi raia wanataka swimming zenye maua mengiEnzi zetu tulikuwa tunaenda kuogelea tanganyika swimming club...
Hivi bado ipo kweli
Ova
Anheweka uzio ingetoshaView attachment 2407447
Diamond platnumz ametoa maji ( drain) swimming pools zake zote wanapoishi wanae. Mind kadai sababu kubwa ya kufanya hivyo Ni kuongeza usalama kwa wanae.
Amewaandikia barua watumishi wake wote wanaohudumia nyumba hizo.