Diamond atoa mapovu kuhusu yanayoendelea mtandaoni

Mmmmh ila kama wema karydi kwa diamond basi wema ni mjinga na atakuwa anawakilisha lile kundi la wanawake wajinga.

Yaan asitake kufa kisa penzi chaaaa!!!!!!
Hivi hanaga cha kuwaza kingine zaidi ya mkuyati wa Mondi?
cacico njoo ujishangalie haya
Bibie mambo
 
Mmmmh ila kama wema karydi kwa diamond basi wema ni mjinga na atakuwa anawakilisha lile kundi la wanawake wajinga.

Yaan asitake kufa kisa penzi chaaaa!!!!!!
Hivi hanaga cha kuwaza kingine zaidi ya mkuyati wa Mondi?
cacico njoo ujishangalie haya
Bibie mambo
 
Wema anaweza pata mimba sasa kama anakwenda kulala Madale maana kijana ana mbegu balaa.

Lakini jamani miss world nae kwenda kulalia kitanda cha wote Madale!!
Hahaaaaaaa Ndio Mwisho wa Akili yake ulipofikia japo kakataa Ila lisemwalo lipo wakati utajibu.
 
Kwani
Mmmmh ila kama wema karydi kwa diamond basi wema ni mjinga na atakuwa anawakilisha lile kundi la wanawake wajinga.

Yaan asitake kufa kisa penzi chaaaa!!!!!!
Hivi hanaga cha kuwaza kingine zaidi ya mkuyati wa Mondi?
cacico njoo ujishangalie haya
Mbona ni mjinga kitambo tu au kuna siku alipona?
 
Ulijificha kwenye jani la mgomba mwisho wa siku umeeleweka.....
 
Mechi Tamu hii aisee,
Mondi kachepuka na Mobetto,
Zari Kachepuka na Ivan

Mchepuko wa Mondi uko hai,
Mchepuko wa Zari (R.I.P)
 
Wema anaweza pata mimba sasa kama anakwenda kulala Madale maana kijana ana mbegu balaa.

Lakini jamani miss world nae kwenda kulalia kitanda cha wote Madale!!
au umbea wa watu, kweli alilala? kupasha kipolo??? hawa watu bado wanapendana aisee kama kweli
 
Wema akatae tena ATM imejileta yenyewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…