Diamond ni MPUMBAVU!. Hata ukiwakusanya machangu wote anaohangaika nao wa hapa bongo na yule wa Big Brother sijui upumbavu gani, hawawezi kufikia hata Robo ya Zari.
Tena kama hajui anakwenda kuporomoka kiana hadi ashangae. Nani kati ya hao Mamalaya mwenye uwezo wa kumpandisha chat mwanaume kama Zari? Au hajui kama katembelea nyota ya Zari hapo alipo na sasa kajisahau? Hiki kimalaya kingine chenye macho kama kichawi, kitamwendesha kiswahili hadi asahau kuoga. Kitakahkikisha kinamfilisi kuanzia jina hadi akili.
Huyu kijana ni pumbavu sana.!